Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,655
- 8,584
sasa kama kila mtu akiangalia na kufata vigezo hivyo je sie tusona mvuto tutaolewa na nani?
mtafte huyu SUPU YA MAWE /@gegedo
Last edited by a moderator:
sasa kama kila mtu akiangalia na kufata vigezo hivyo je sie tusona mvuto tutaolewa na nani?
sasa kama kila mtu akiangalia na kufata vigezo hivyo je sie tusona mvuto tutaolewa na nani?
mtafte huyu SUPU YA MAWE /@gegedo
ni kweli kaka ndo mana mara nyingi wanawake malaya wanakuwa wazuri kila idara
Ndoa litabaki kuwa tukio lenye kusisimua kama sio kufurahisha ikiwa wanandoa watakuwa wanajua nini hasa maana ya ndoa........
Ukiwa unapenda mabuno lazima uwe na principle hii! Usiwe na ule moyo wa huyu ndio wa kufa na kuzikana! Utakua na presha! Kua na buno la ukweli mwaka wakwanza wapili mtoto wa tatu akizingua unachapa lapa unatafuta buno lingine matata nalo mchezo huo huo ukikamilisha idadi ya watoto basi unakua Mzee wa miezi mitatu mitatu! Sababu ya kufanya hivo wengi wanawake wazuri wahatulii ndani vishawishi vingi!
sasa kama kila mtu akiangalia na kufata vigezo hivyo je sie tusona mvuto tutaolewa na nani?
Habari wanajamvi,nimeikuta mahala na ikanifurahisha sana.
Heri yako wewe unayesaka mke mwenye tabia nzuri,mi huo Msako nimeacha siku nyingiii,kama ni tabia nitamuazima Tabia zangu tukishaoana,kisa cha kujinyima vitu vizuri kisa nasaka mama paroko.
Wakati wa kutafuta mtoto tabia haitumiki ,ni mwendo wa ashki tu na jinsi ntakavyopagawishwa na kucha zake na amenigusa wapi,unahitaji kupata mke "malaya wa kitanda"
Nikirudi na Stress za kazini niikute hii figa iko ndani ya Bikini tu inanisubiri,anidake aanze "kutuma salamu kwa hisia " huku analalamika kwa uongo na kweli tabia ikae mbali huko.
Nikialikwa mtoko na washkaji sina haja ya kujiuliza kama niende mwenyewe au lah,Ntamwambia "Mke wangu leo usiku tunatoka Outing,please dress to kill",na muda wote wa mtoko nitakuwa nimemshika kiuno ili kutuma Meseji kwa kila anayeniangalia kwamba "Yes nafaidi hili buno daily".
Hapa tabia haihusiki kuna watu kila ukiwaalika hawaji na wake zao japo walioa tabia kisa mwanamke haangaliki mara mbili,kisa mi sitaki hayo mambo nataka nikishtuka usiku wa manane pamoja na lepe la usingizi kunizidia lakini macho yangu yapangue giza totoro la chumbani nione hili buno pembeni yangu,nilishike kwa uchu halafu nimshtue taratibu,"babynaomba kimoko"
Mchana mwema wasaka tabia njema,ndo maana mnaibuka na vitu kichefuchefu mpakani unajisemea labda alipewa discount ya mahari,mke wangu wa milele lazima awe ananistua nikimuona. Tabia ntampunguzia za kwangu.
Siku ukioa na ukaja na sample ya experience yako. Utatueleza km unachokisema kina uhalali na ukweli.
Totally disagree with u 100% other beautiful ladies are knives.
Habari wanajamvi,nimeikuta mahala na ikanifurahisha sana.
Heri yako wewe unayesaka mke mwenye tabia nzuri,mi huo Msako nimeacha siku nyingiii,kama ni tabia nitamuazima Tabia zangu tukishaoana,kisa cha kujinyima vitu vizuri kisa nasaka mama paroko.
Wakati wa kutafuta mtoto tabia haitumiki ,ni mwendo wa ashki tu na jinsi ntakavyopagawishwa na kucha zake na amenigusa wapi,unahitaji kupata mke "malaya wa kitanda"
Nikirudi na Stress za kazini niikute hii figa iko ndani ya Bikini tu inanisubiri,anidake aanze "kutuma salamu kwa hisia " huku analalamika kwa uongo na kweli tabia ikae mbali huko.
Nikialikwa mtoko na washkaji sina haja ya kujiuliza kama niende mwenyewe au lah,Ntamwambia "Mke wangu leo usiku tunatoka Outing,please dress to kill",na muda wote wa mtoko nitakuwa nimemshika kiuno ili kutuma Meseji kwa kila anayeniangalia kwamba "Yes nafaidi hili buno daily".
Hapa tabia haihusiki kuna watu kila ukiwaalika hawaji na wake zao japo walioa tabia kisa mwanamke haangaliki mara mbili,kisa mi sitaki hayo mambo nataka nikishtuka usiku wa manane pamoja na lepe la usingizi kunizidia lakini macho yangu yapangue giza totoro la chumbani nione hili buno pembeni yangu,nilishike kwa uchu halafu nimshtue taratibu,"babynaomba kimoko"
Mchana mwema wasaka tabia njema,ndo maana mnaibuka na vitu kichefuchefu mpakani unajisemea labda alipewa discount ya mahari,mke wangu wa milele lazima awe ananistua nikimuona. Tabia ntampunguzia za kwangu.
Habari wanajamvi,nimeikuta mahala na ikanifurahisha sana.
Heri yako wewe unayesaka mke mwenye tabia nzuri,mi huo Msako nimeacha siku nyingiii,kama ni tabia nitamuazima Tabia zangu tukishaoana,kisa cha kujinyima vitu vizuri kisa nasaka mama paroko.
Wakati wa kutafuta mtoto tabia haitumiki ,ni mwendo wa ashki tu na jinsi ntakavyopagawishwa na kucha zake na amenigusa wapi,unahitaji kupata mke "malaya wa kitanda"
Nikirudi na Stress za kazini niikute hii figa iko ndani ya Bikini tu inanisubiri,anidake aanze "kutuma salamu kwa hisia " huku analalamika kwa uongo na kweli tabia ikae mbali huko.
Nikialikwa mtoko na washkaji sina haja ya kujiuliza kama niende mwenyewe au lah,Ntamwambia "Mke wangu leo usiku tunatoka Outing,please dress to kill",na muda wote wa mtoko nitakuwa nimemshika kiuno ili kutuma Meseji kwa kila anayeniangalia kwamba "Yes nafaidi hili buno daily".
Hapa tabia haihusiki kuna watu kila ukiwaalika hawaji na wake zao japo walioa tabia kisa mwanamke haangaliki mara mbili,kisa mi sitaki hayo mambo nataka nikishtuka usiku wa manane pamoja na lepe la usingizi kunizidia lakini macho yangu yapangue giza totoro la chumbani nione hili buno pembeni yangu,nilishike kwa uchu halafu nimshtue taratibu,"babynaomba kimoko"
Mchana mwema wasaka tabia njema,ndo maana mnaibuka na vitu kichefuchefu mpakani unajisemea labda alipewa discount ya mahari,mke wangu wa milele lazima awe ananistua nikimuona. Tabia ntampunguzia za kwangu.
Jamani sijawahi kumlaumu mwanamke /Wanawake kupenda pesa. Zamani Wanawake walipenda kuolewa na watu mashujaa katika vita, waganga wa kienyeji na watu jasiri ktk jamii. Hii ilikuwa inawahakikishia usalama wao ktk maisha. Ulimwengu wa leo tafsiri ya mtu shujaa au jasiri na mwenye kuhakikisha usalama wa mwanamke ni mtu mwenye PESA, FALANGA AU PAKEE. Endeleeni kupenda wenye pesa na mna haki kwa kufanya hilo.afu sie tukipenda pesa mnatushangaa.......wakati nyie wenyewe mnataka wanawake wazuri......
Baba aliniambia ukitaka kuoa mwanamke oa yule ambae ukimwona tu dushe linashtuka sio yule mpaka mpige pedeli ndo safari ianze,tabia tutafundishana wenyewe, hahahhaha.