Wanaume kazi mnayo jamani

Wanaume kazi mnayo jamani

Pritty wa joseph

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,379
Reaction score
2,051
Habari wanajamvi,nimeikuta mahala na ikanifurahisha sana.

Heri yako wewe unayesaka mke mwenye tabia nzuri,mi huo Msako nimeacha siku nyingiii,kama ni tabia nitamuazima Tabia zangu tukishaoana,kisa cha kujinyima vitu vizuri kisa nasaka mama paroko.

Wakati wa kutafuta mtoto tabia haitumiki ,ni mwendo wa ashki tu na jinsi ntakavyopagawishwa na kucha zake na amenigusa wapi,unahitaji kupata mke "malaya wa kitanda"

Nikirudi na Stress za kazini niikute hii figa iko ndani ya Bikini tu inanisubiri,anidake aanze "kutuma salamu kwa hisia " huku analalamika kwa uongo na kweli tabia ikae mbali huko.

Nikialikwa mtoko na washkaji sina haja ya kujiuliza kama niende mwenyewe au lah,Ntamwambia "Mke wangu leo usiku tunatoka Outing,please dress to kill",na muda wote wa mtoko nitakuwa nimemshika kiuno ili kutuma Meseji kwa kila anayeniangalia kwamba "Yes nafaidi hili buno daily".

Hapa tabia haihusiki kuna watu kila ukiwaalika hawaji na wake zao japo walioa tabia kisa mwanamke haangaliki mara mbili,kisa mi sitaki hayo mambo nataka nikishtuka usiku wa manane pamoja na lepe la usingizi kunizidia lakini macho yangu yapangue giza totoro la chumbani nione hili buno pembeni yangu,nilishike kwa uchu halafu nimshtue taratibu,"babynaomba kimoko"

Mchana mwema wasaka tabia njema,ndo maana mnaibuka na vitu kichefuchefu mpakani unajisemea labda alipewa discount ya mahari,mke wangu wa milele lazima awe ananistua nikimuona. Tabia ntampunguzia za kwangu.
 
na siku ukikuta hilo bunyele linakamatiwa na wengine vumilia tu

ie' utaishia kufumania tu kila siku

yamenikuta
 
Mithali 11:22 22.--"Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Kadhalika mwanamke mzuri asiye na akili" thamani ya mwanamke ni tabia. Kama ni urembo Wema angekuwa ameshaolewa siku nyingi sana.
 
Mithali 11:22 22.--"Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Kadhalika mwanamke mzuri asiye na akili" thamani ya mwanamke ni tabia. Kama ni urembo Wema angekuwa ameshaolewa siku nyingi sana.

hahahahhaah
amesema kama tabia atampa ya kwake
 
hahahahhaah
amesema kama tabia atampa ya kwake

Hakawi kuja kuanzisha uzi kuwa mke wa ana michepuko. Wanawake wazuri kupitiliza huwa wanatongozwa na wanaume wengi sana. Wakati hulazimika kuwakubalia watongozaji akidhani kuwa wataacha kusumbua wakipewa.
 
Kaukweli kamo ingawa wengi watapinga,jamani mwanamke mrembo ni pambo la nyumba afu awe malaya kitandani mbona watu watasingizia limbwata,dah!!ila kuna watu wanajua mautundu hadi raha.

umeandika kwa hisia bro
unaye wa aina hiyo nn
 
Habari wanajamvi,nimeikuta mahala na ikanifurahisha shana

Heri yako wewe unayesaka Mke mwenye TABIA NZURI,mi huo Msako nimeacha siku nyingiii,Kama ni Tabia nitamuazima Tabia zangu tukishaoana..Kisa cha Kujinyima vitu vizuri kisa nasaka MAMA PAROKO??
Wakati wa Kutafuta Mtoto TABIA HAITUMIKI,ni mwendo wa Ashki tu na jinsi ntakavyopagawishwa na kucha zake na amenigusa wapi..Unahitaji kupata Mke "Malaya wa Kitanda"
Nikirudi na Stress za kazini niikute hii figa iko ndani ya Bikini tu inanisubiri,anidake aanze "KUTUMA SALAMU KWA HISIA" huku analalamika kwa uongo na kweli...TABIA IKAE MBALI HUKOO
Nikialikwa mtoko na washkaji sina haja ya kujiuliza kama niende mwenyewe au lah,Ntamwambia "Mke wangu leo usiku tunatoka Outing,please DRESS TO KILL",na muda wote wa mtoko nitakuwa nimemshika kiuno ili kutuma Meseji kwa kila anayeniangalia kwamba "YES NAFAIDI HILI BUNO BURE DEILE" na hapa TABIA WALA HAIHUSIKI!Kuna watu kila ukiwaalika hawaji na wake zao japo walioa TABIA,kisa MKE HAANGALIKI MARA 2...Mi sitaki hayo mambo...Nataka nikishtuka Usiku wa Manane pamoja na lepe la usingizi kunizidia lakini macho yangu yapangue giza totoro la chumbani nione HILI BUNO pembeni yangu,nilishike kwa uchu halafu nimshtue taratibu,"BEBI NAOMBA KIMOKO"
Mchana mwema Wasaka Tabia Njema,Ndo maana mnaibuka na vitu kichefuchefu mpakani unajisemea LABDA ALIPEWA DISKAUNTI YA MAHARI!
Mke wangu wa Milele lazima awe ANANISHTUA NIKIMUONA,Tabia ntampunguzia za kwangu!

Kachague changudoa tu mkuu, maana kuna vyombo vya hatari kati yao, "Tabia nini bhana" kama ulivyosema!Chezea ndoa wewe???
 
Hakawi kuja kuanzisha uzi kuwa mke wa ana michepuko. Wanawake wazuri kupitiliza huwa wanatongozwa na wanaume wengi sana. Wakati hulazimika kuwakubalia watongozaji akidhani kuwa wataacha kusumbua wakipewa.

ni kweli kaka ndo mana mara nyingi wanawake malaya wanakuwa wazuri kila idara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom