Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,379
- 2,051
Habari wanajamvi,nimeikuta mahala na ikanifurahisha sana.
Heri yako wewe unayesaka mke mwenye tabia nzuri,mi huo Msako nimeacha siku nyingiii,kama ni tabia nitamuazima Tabia zangu tukishaoana,kisa cha kujinyima vitu vizuri kisa nasaka mama paroko.
Wakati wa kutafuta mtoto tabia haitumiki ,ni mwendo wa ashki tu na jinsi ntakavyopagawishwa na kucha zake na amenigusa wapi,unahitaji kupata mke "malaya wa kitanda"
Nikirudi na Stress za kazini niikute hii figa iko ndani ya Bikini tu inanisubiri,anidake aanze "kutuma salamu kwa hisia " huku analalamika kwa uongo na kweli tabia ikae mbali huko.
Nikialikwa mtoko na washkaji sina haja ya kujiuliza kama niende mwenyewe au lah,Ntamwambia "Mke wangu leo usiku tunatoka Outing,please dress to kill",na muda wote wa mtoko nitakuwa nimemshika kiuno ili kutuma Meseji kwa kila anayeniangalia kwamba "Yes nafaidi hili buno daily".
Hapa tabia haihusiki kuna watu kila ukiwaalika hawaji na wake zao japo walioa tabia kisa mwanamke haangaliki mara mbili,kisa mi sitaki hayo mambo nataka nikishtuka usiku wa manane pamoja na lepe la usingizi kunizidia lakini macho yangu yapangue giza totoro la chumbani nione hili buno pembeni yangu,nilishike kwa uchu halafu nimshtue taratibu,"babynaomba kimoko"
Mchana mwema wasaka tabia njema,ndo maana mnaibuka na vitu kichefuchefu mpakani unajisemea labda alipewa discount ya mahari,mke wangu wa milele lazima awe ananistua nikimuona. Tabia ntampunguzia za kwangu.
Heri yako wewe unayesaka mke mwenye tabia nzuri,mi huo Msako nimeacha siku nyingiii,kama ni tabia nitamuazima Tabia zangu tukishaoana,kisa cha kujinyima vitu vizuri kisa nasaka mama paroko.
Wakati wa kutafuta mtoto tabia haitumiki ,ni mwendo wa ashki tu na jinsi ntakavyopagawishwa na kucha zake na amenigusa wapi,unahitaji kupata mke "malaya wa kitanda"
Nikirudi na Stress za kazini niikute hii figa iko ndani ya Bikini tu inanisubiri,anidake aanze "kutuma salamu kwa hisia " huku analalamika kwa uongo na kweli tabia ikae mbali huko.
Nikialikwa mtoko na washkaji sina haja ya kujiuliza kama niende mwenyewe au lah,Ntamwambia "Mke wangu leo usiku tunatoka Outing,please dress to kill",na muda wote wa mtoko nitakuwa nimemshika kiuno ili kutuma Meseji kwa kila anayeniangalia kwamba "Yes nafaidi hili buno daily".
Hapa tabia haihusiki kuna watu kila ukiwaalika hawaji na wake zao japo walioa tabia kisa mwanamke haangaliki mara mbili,kisa mi sitaki hayo mambo nataka nikishtuka usiku wa manane pamoja na lepe la usingizi kunizidia lakini macho yangu yapangue giza totoro la chumbani nione hili buno pembeni yangu,nilishike kwa uchu halafu nimshtue taratibu,"babynaomba kimoko"
Mchana mwema wasaka tabia njema,ndo maana mnaibuka na vitu kichefuchefu mpakani unajisemea labda alipewa discount ya mahari,mke wangu wa milele lazima awe ananistua nikimuona. Tabia ntampunguzia za kwangu.