Wanaume jamani mnatuchefua

Duuuh ya kweli haya???
 
Kwahiyo una msitu?



Hongera sana...jamaa atakuwa anatembea na toothpick mfukoni
Sina msitu. Ila yy akiwa nao siwezi kumtenga. Badala yake naweza fanikisha zoezi la kuondoa nisichokitaka
 
Mkewe labda ndio inachangia kumsisimua.. na anapewa maraha nayo..
Acha kumfolo au kuangalia yake.
 
Nimeudhika nikajikuta nasema vile tu kuhusu wax
 

Na kama mwanaume akikutaka yeye... aangalie nini kwako?


cc: mahondaw
 
Duuh hatar sana hii, sidhani kama tutakuwa tunawasaidia zaidi ya kuwafanya wazidi kuwa wachafu, hivi mkuu tuongee ule ukweli tusiongee kufurahisha jukwaa kwa mtu anayejielewa iwe mwanaume au mwanamke anaweza kusubiria kuhimizwa kuoga au kujiswafi sehemu zake muhimu? Hapana aiseeh hilo jambo nalipinga kwa asilimia miambili. Kuna vitu vya kuhimizana /kushauriana lakini sio kuoga anayesubiria kuambiwa kaoge huyo ni mchafu aliyetukuka katika wachafu.
 
Ndio maana hata simkujibu aisee niliona ntajichosha bora umemjibu,,vitu vingine sio vya kumwambia mtu lazima ajiongeze mwenyewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…