Wanaume ingieni huku Mara moja

moniccca

JF-Expert Member
Nov 15, 2015
2,383
3,285
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
 
Ongea ya kidunia lkn ya Mungu inaelekea ufahamu wako ni mdogo moja la kusudio kuumbwa kwenu ni kuwa wasaidizi wetu............................

(Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia)........

Kweli ni Mama.Shangazi.Dada na wake zetu mna Special respect kwa hilo hapa Duniani na kesho akhera....
 
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
Shida ya dada Leah!!,imesababishwa na yeye mwenyewe,Kujiona yeye ndo kila mmewe hana sauti,rejea hata hii nyumba ni yangu,sikutaka kuzaa mpaka nimalize masters.Kiufupi mme wake haoni rahaa ya kuoa,sasa mdogo mtu alivyokuja inaonekana alionekana kumpa value shemeji yake(mme wa leah)kuliko hata mke mwenyewe anavyo mvalue,hii ikapelekea hayo yote.Haya rudi ukamuandalie chai mmeo mpya.
 
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
Ukitamka neno MWANAUME dunia inatetemeka na MUNGU anatega sikio kusikiliza unataka kusema nini juu ya MWANAUME.%90 ya wanaume tunawatunza ninyi,tunawafundisha na mnatulipa maovu tu kwa kutugeuza ATM,usikivu kwenu umekua mgumu eti kisa mmesoma mnafanya kazi wafanyazo WANAUME,sasa hv mmedanganywa na watu wa Magharibi eti tuwe 50/50 kati yetu na ninyi,nawaapia haitakaa ikatokea mpaka dunia itakwisha,kumbukeni sisi ndo tuliumbwa na ninyi mkatolewa ktk viungo vyetu kipande kidogo mkatengenezwa ili mtuzalie na kutusaidia mahitaji madogomadogo ya nyumbani pindi tukiwa mihangaikoni,hebu rudini ktk uhalisia,acheni kuishi kitamthilia,chunguza mwanamke anaejielewa hata kama amesoma mpaka nyuma ya ubao wa vyuo lakini akikaa nyumbani akamtii mumewe na kutenda majukumu yake angalia atakavyokua na amani ktk ndoa.tatizo lenu mna vitu vya kuigaiga,mambo mnayaonea kwenye tamthilia za kifilipino yale ni maigizo ninyi mnataka kuyaishi,lazima ile kwenu.MWANAUME anaheshimiwa sana na MUNGU trust me.hzi shule mnazopata,vi IST mnavyotembelea na utandawazi ndo jipu lenu.nakuagiza heshimu na tii MWANAUME ule mema ya nchi.msituijie sisi na vigari vyenu vya mikopo ofcn kwenu na kutumwa na ofc kupeleka training fulani kwa watu,unawafundisha WANAUME kwa wanawake ktk ukumbi wanakusikiliza ukitoka hapo kichwa kinakujaa kua hata na nyumbani utaendesha training kwa mumeo,nakwambia utapigwa chini tu na uishie kua unachezewa na kuachwa.we mwanamke umekubali kuolewa alafu eti unaleta tena masharti ya kuzaa mpaka muda fulani,ukileta masharti ya kuzaa tafisili rahisi ni kuna muda ukiwa kitandani utakataa kumpa mumeo unyumba,alafu unadhani nini kitatokea?shauli zenu,mtalalamika mpaka dunia itakwisha msipobadilika.FINISH
 
Shida ya dada Leah!!,imesababishwa na yeye mwenyewe,Kujiona yeye ndo kila mmewe hana sauti,rejea hata hii nyumba ni yangu,sikutaka kuzaa mpaka nimalize masters.Kiufupi mme wake haoni rahaa ya kuoa,sasa mdogo mtu alivyokuja inaonekana alionekana kumpa value shemeji yake(mme wa leah)kuliko hata mke mwenyewe anavyo mvalue,hii ikapelekea hayo yote.Haya rudi ukamuandalie chai mmeo mpya.

Wacha ni like kwa sauti
 
Ukitamka neno MWANAUME dunia inatetemeka na MUNGU anatega sikio kusikiliza unataka kusema nini juu ya MWANAUME.%90 ya wanaume tunawatunza ninyi,tunawafundisha na mnatulipa maovu tu kwa kutugeuza ATM,usikivu kwenu umekua mgumu eti kisa mmesoma mnafanya kazi wafanyazo WANAUME,sasa hv mmedanganywa na watu wa Magharibi eti tuwe 50/50 kati yetu na ninyi,nawaapia haitakaa ikatokea mpaka dunia itakwisha,kumbukeni sisi ndo tuliumbwa na ninyi mkatolewa ktk viungo vyetu kipande kidogo mkatengenezwa ili mtuzalie na kutusaidia mahitaji madogomadogo ya nyumbani pindi tukiwa mihangaikoni,hebu rudini ktk uhalisia,acheni kuishi kitamthilia,chunguza mwanamke anaejielewa hata kama amesoma mpaka nyuma ya ubao wa vyuo lakini akikaa nyumbani akamtii mumewe na kutenda majukumu yake angalia atakavyokua na amani ktk ndoa.tatizo lenu mna vitu vya kuigaiga,mambo mnayaonea kwenye tamthilia za kifilipino yale ni maigizo ninyi mnataka kuyaishi,lazima ile kwenu.MWANAUME anaheshimiwa sana na MUNGU trust me.hzi shule mnazopata,vi IST mnavyotembelea na utandawazi ndo jipu lenu.nakuagiza heshimu na tii MWANAUME ule mema ya nchi.msituijie sisi na vigari vyenu vya mikopo ofcn kwenu na kutumwa na ofc kupeleka training fulani kwa watu,unawafundisha WANAUME kwa wanawake ktk ukumbi wanakusikiliza ukitoka hapo kichwa kinakujaa kua hata na nyumbani utaendesha training kwa mumeo,nakwambia utapigwa chini tu na uishie kua unachezewa na kuachwa.we mwanamke umekubali kuolewa alafu eti unaleta tena masharti ya kuzaa mpaka muda fulani,ukileta masharti ya kuzaa tafisili rahisi ni kuna muda ukiwa kitandani utakataa kumpa mumeo unyumba,alafu unadhani nini kitatokea?shauli zenu,mtalalamika mpaka dunia itakwisha msipobadilika.FINISH
Chief na hapo ndo shida ya huyo mleta uzi anaouzungumzia huyu ilipo.Kisa "ata nyumba tunaishi ni yangu".
 
Ukitamka neno MWANAUME dunia inatetemeka na MUNGU anatega sikio kusikiliza unataka kusema nini juu ya MWANAUME.%90 ya wanaume tunawatunza ninyi,tunawafundisha na mnatulipa maovu tu kwa kutugeuza ATM,usikivu kwenu umekua mgumu eti kisa mmesoma mnafanya kazi wafanyazo WANAUME,sasa hv mmedanganywa na watu wa Magharibi eti tuwe 50/50 kati yetu na ninyi,nawaapia haitakaa ikatokea mpaka dunia itakwisha,kumbukeni sisi ndo tuliumbwa na ninyi mkatolewa ktk viungo vyetu kipande kidogo mkatengenezwa ili mtuzalie na kutusaidia mahitaji madogomadogo ya nyumbani pindi tukiwa mihangaikoni,hebu rudini ktk uhalisia,acheni kuishi kitamthilia,chunguza mwanamke anaejielewa hata kama amesoma mpaka nyuma ya ubao wa vyuo lakini akikaa nyumbani akamtii mumewe na kutenda majukumu yake angalia atakavyokua na amani ktk ndoa.tatizo lenu mna vitu vya kuigaiga,mambo mnayaonea kwenye tamthilia za kifilipino yale ni maigizo ninyi mnataka kuyaishi,lazima ile kwenu.MWANAUME anaheshimiwa sana na MUNGU trust me.hzi shule mnazopata,vi IST mnavyotembelea na utandawazi ndo jipu lenu.nakuagiza heshimu na tii MWANAUME ule mema ya nchi.msituijie sisi na vigari vyenu vya mikopo ofcn kwenu na kutumwa na ofc kupeleka training fulani kwa watu,unawafundisha WANAUME kwa wanawake ktk ukumbi wanakusikiliza ukitoka hapo kichwa kinakujaa kua hata na nyumbani utaendesha training kwa mumeo,nakwambia utapigwa chini tu na uishie kua unachezewa na kuachwa.we mwanamke umekubali kuolewa alafu eti unaleta tena masharti ya kuzaa mpaka muda fulani,ukileta masharti ya kuzaa tafisili rahisi ni kuna muda ukiwa kitandani utakataa kumpa mumeo unyumba,alafu unadhani nini kitatokea?shauli zenu,mtalalamika mpaka dunia itakwisha msipobadilika.FINISH
G'taxi, umeongea wee, nikataka nikubararukie lkn ukazid kuongea, ukaongea mpaka povu likakutoka, ukafika mahali ukagusa penyewe taratibu nikawampole, kweli nimetokana na kambavu kamoja tu ka mwanaume, kweli Mungu amempa nafasi kubwa mwanaume, nikaenda mbali zaidi nikajisemesha moyoni mwangu hata Yesu wakati anachagua mitume hakuchagua mwanamke hata mmoja, hata mama yake mwenyewe hakuchaguliwa. Kwahiyo nikaona upo sahihi lkn pamoja na yote bado mwanamke haweze kutokuwa wa thamani kwako. Ukinithamini ntakuthamini..emu basi wathaminini wake zenu kuna jambo haliko sawa jadirini.
Leah alisema walikubaliana mpaka amaliza kusoma ndipo wazae kosa lake lipo wapi? Acheni mifumo dume bhana aagha
 
Hivi unajua kabla ya kuumbwa kwa Eva Mungu alimuumba mwanamke na mwanaume? Ge 1:26-29 and Ge 5:1-2

Unajua kwa nini Eva aliumbwa?
Ge 2:18, Mwanamke wa kwanza (Lilith) kabla ya Eva hatua zake za uumbwaji zilikuwa Sawa na Adam na hivyo kupelekea kukataa kuishi Kama mke wa Adam kwa kigezo cha kuwa sawa kiuumbwaji na kimamlaka.

Ge 2:23-25 Adam akasema, sasa huyu Ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke kwa maana ametwaliwa katika mwanaume..

"After Eve’s creation in Ge 2:23, Adam awakes and exclaims upon seeing her, “This time is this!”
The Hebrew term for “this time”, hapa’am, is used when an event repeats and the subsequent event is
being compared to the first. It could perhaps best be understood in English as “at this iteration”. So
Adam could understood as saying, “At this iteration is this!”, in reference to Eve standing before him.
Adam’s use of this word implies that he is comparing Eve’s creation to a previous creation"

Hapa tunajifunza kwamba Eva aliumbwa kutoka katika nyama za ubavu wa Adam kwa ajili ya kitofautisha mamlaka ya viumbe hawa wawili, Mwanamke siku zote atakuwa chini ya mwanaume na itakapotokea mwanamke anatAka kuwa juu ya mwanaume basi watu hao hawataweza kuishi pamoja.

ImageUploadedByJamiiForums1462085828.724582.jpg


Maandiko yanasema Adam alikuwa alone na sio lonely..Adam alihitaji msaidizi(helper) wa kumfaa.

Sasa tatizo linakuja siku hizi madada zetu hawafundishwi nafasi zao katika familia hasa kwa waume zao, wanawake wanataka kuwa juu ya waume zao na wasikilizwe kwa kila wanachokitaka..it's against nature na ndio maana mahusiano yanasumbua kuliko hata biashara siku hizi. Baadhi ya Wanaume nao hawajuhi mamlaka waliyopewa juu ya mwanamke na familia na hivyo kupelekea kupoteza natural authority ya kuwa mwanaume.

Kwa leo inatosha
 
wanaume wa mara ni jadi yao kusema wake zao kwa mahawara wioote ni wake zao nakila siku nikusema wanawake kwao hawana thamani
 
Back
Top Bottom