Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Yah itakuwa movies, maana ukiwa na familia unakuta huwezi tazamavitu unavyopenda. Mimi mfano napenda crimes and investigation toka nimeanza kuishi na familia sitazamitena maana wao hawapendi wanapenda mitamthilia sijui gangaa. Ningekuwa mtu ambaye napenda kwenda kwa watu basi ningekuwa naenda kwa mshikaji check series, lakini mimi si mtu wa hiivyo.Sometimes unaweza kukuta wanabet na kufatilia live score pamoja yaani hapo hata saa saba usiku watafika. Wengine ni addicted kwenye magame so huenda wanacheza games pamoja.
Mimi Nina miaka 35 lakini siku za weekend nashinda home tu na madogo wa 30-23 yrs toka SAA tatu mpaka SAA tano tunalinda mikeka.
Au huenda wanafuatilia season pamoja ambayo hawataki kumiss vipande, si mnajua season ukiifuatilia unakua na alosto!
Huo upuuzi mnaowawazia uondoeni vichwani mwenu.