Wanaume hawatabiriki

Wanaume hawatabiriki

Mwanaume ni mtu wa surprise siku zote hivyo itakua sio poa akitabirika.

Wanawake wote duniani wanatafuta namna ya kumdominate mwanaume iwe kwa uwezo wake au hata kwa sangoma.

Mwanamke timiza wajibu wako sisi wanaume sio punguani tushinde kuona makuu anayofanya mwanamke kwa mwanaume wake.

Hata neno linasema hakuna Mwenye haki atakayeachwa.
 
One thing for sure mwanaume akiamua kukupenda na kukuheshimu atafanya hivyo asipoamua basi haitakuwa hivyo,
unaweza kukutana na mwanaume leo ukalala naye kesho na bado atakuheshimu na kukupenda kwa kipindi chote cha mahusiano lakini pia unaweza kumfanya asubiri hata baada ya miezi au mwaka ndo mshiriki tendo la kikubwa na badaada ya hapo akakudharau na kupunguza upendo,
Unaweza ukawa mrembo na unavutia na bado asikupende akampenda mtu ambaye wewe unaona kabisa umemzidi,
Mwanaume anaweza akawa anatamaa na watu wenye maumbo yakuvutia lakini anayempenda kwa dhati ni yule ambaye mwembamba kama mimi
Mwanaume hatabiriki so mwanamke mwenzangu just love and have confidence on yourself,Mwanaume akikupenda atakuheshinu haijalisha mmekutana mazingira gani
***PEACE PEOPLE***

Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU,

NI_PM NAMBA YAKO YA SIMU,
KUNA SUALA YABIDI TUJADILI!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote haya ni matokeo ya kutaka usawa na uzungu zungu kibao.
Unanvalia kimini kisa ninaempenda ni mwembamba ndo nikuache salama !

Mamamgu na bibi zangu sikuwahi waona wana paza sauti kama nyie wa kikomo cha nyerere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
One thing for sure mwanaume akiamua kukupenda na kukuheshimu atafanya hivyo asipoamua basi haitakuwa hivyo,
unaweza kukutana na mwanaume leo ukalala naye kesho na bado atakuheshimu na kukupenda kwa kipindi chote cha mahusiano lakini pia unaweza kumfanya asubiri hata baada ya miezi au mwaka ndo mshiriki tendo la kikubwa na badaada ya hapo akakudharau na kupunguza upendo,

Unaweza ukawa mrembo na unavutia na bado asikupende akampenda mtu ambaye wewe unaona kabisa umemzidi,
Mwanaume anaweza akawa anatamaa na watu wenye maumbo yakuvutia lakini anayempenda kwa dhati ni yule ambaye mwembamba kama mimi

Mwanaume hatabiriki so mwanamke mwenzangu just love and have confidence on yourself,Mwanaume akikupenda atakuheshinu haijalisha mmekutana mazingira gani
***PEACE PEOPLE***

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure naunga mkono hoja 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
One thing for sure mwanaume akiamua kukupenda na kukuheshimu atafanya hivyo asipoamua basi haitakuwa hivyo,
unaweza kukutana na mwanaume leo ukalala naye kesho na bado atakuheshimu na kukupenda kwa kipindi chote cha mahusiano lakini pia unaweza kumfanya asubiri hata baada ya miezi au mwaka ndo mshiriki tendo la kikubwa na badaada ya hapo akakudharau na kupunguza upendo,

Unaweza ukawa mrembo na unavutia na bado asikupende akampenda mtu ambaye wewe unaona kabisa umemzidi,
Mwanaume anaweza akawa anatamaa na watu wenye maumbo yakuvutia lakini anayempenda kwa dhati ni yule ambaye mwembamba kama mimi

Mwanaume hatabiriki so mwanamke mwenzangu just love and have confidence on yourself,Mwanaume akikupenda atakuheshinu haijalisha mmekutana mazingira gani
***PEACE PEOPLE***

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwanamke utaenda mbinguni. You see things in a bigger picture, naweza kusema hakika wewe unawajua wanaume.

You said it all mama.
 
Back
Top Bottom