ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,227
- 14,702
Hii ni kweli kabisa, unakuta hata kidole kimoja tu hakipiti, miguu inabanwa, halafu wanakuwaga na nguvu usipokuwa vizuri anaweza kukurushia mbali. Kubwa zaidi kumbikiri mwanamke ni kuingia kwenye agano la damu, mwanaume akibikiri zaidi ya ku bost ego hakuna lolote ila mwanamke anajifungamanisha na aliyembikiri. Mara nyingi atauliza kama ataolewa na aliyembikiri. Mwanaume akikubali na asimuoe lazima yajekumkuta kwenye ndoa yake.Saa nyingine unaweza usiikamilishe mpaka mara tatu au zaidi. Zile damu pia jutia kinyaa