Wanaume hawajui mapenzi

Wanaume hawajui mapenzi

Nimecheka kwa sauti sana, maana nimeutafakari ujumbe wako kwamba pamoja na yoooote wanayoyataka wafanyiwe bado wanataka na hela juu


Hahahhaahahaaaaaaaa
Hahaaaaaaa acha kabisa mkuu, wanatutesa sana
 
Moja na kitu ambacho umekiacha nusu wakati uwezo wa kumalizia unao ni hili la kutumia vidole vitatu. Wewe unafaham hayo mambo ya vidole 3 ni vipi usitufundishe tusio jua ili tuelewe tunakwama wapi.
Sijakupenda ktk hili but kama utatuelezia nitakuwa rafik mwema kwako
 
Back
Top Bottom