hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,601
- 73,969
yaani mimi hilo ndio huwa siweziNina wawili Hapa wanasubiri mpaka nianze kuwatumia msg ndo wajibuu... Nadhani hawana siku nyingii.. Wanawakee ni wengii sanaaa aiseee...
kumtafuta MTU asiyetaka kunitafuta !!!
huwa nafanya Mara 2 tu nikiona unareply shortly nafuta namba mamaeeee sitaki stress Mimi niwaze mahela niwaze mwanamke kichwa chenyew hikihiki kimoja ??