Wanaume halisi hawafanyi haya

-Mwanaume halisi dudu linasimama fasta, sio mpaka lipigwe jeki, akiona juu goti tu tayari, mnara unasoma
-mwanaume wa kweli ana mwili mgumu, sio legelege kama demu.
-mwanaume halisi anapambana na hali yake bila kukata tamaa, mpaka kieleweke
-mwanaume halisi haongei ovyo ovyo kama demu, muda mwingi ameuchuna anasikiliza au anatafakari maisha yake.
-mwanaume halisi ni baba, na ni kiongozi wa familia yake, anaetekeleza majukumu ya kuhudumia familia yake kila kitu.
-mwanaume halisi anamheshimu na kumpenda mke/mwanamke wake kuliko wengine wote!
 

Mia mia...
 

Hapo kwenye Bold kula tano.
Sio unafika nae kwenye mechi anaanza kushangaa papuchi yangu iliyojaa nyasi...mwanaume wa kweli anapuliza ili aone njia kisha mechi inaendelea.
 

nawasiwasi na mtoa mada anajinad kuwa mwanaume ila kishatongooo.............wa
 
Mwanaume halisi hupiga goal kuanzia 5 na kuendelea.
 
Kwahiyo unataka mwanaume mwenye kufanya hayo hata akilala chumba kimoja na mkeo hautakuwa na wasiwasi kwa sababu si mwanaume halisi ni feki?
 
Hiyo ya kupigana na mwanamke ni sawa kabisa. Utampigaje mwanamke asiyeweza ht kukupiga kwenzi? Wanaowapiga wanawake ni waoga na hawajiamini.
 

Umeingiza sh ngapi tangu uandike hii thread
 
mwanaume wa kweli hacheki muda mrefu na pia mwanaume wa kweli hapendi kuambiwa ye mzuri.
 
*Anaitunza familia yake na kubaki njia kuu
*anajilinda na maradhi ya kuambukiza ili aendelee kuihudumia familia yake bila tabu
*anajiheshimu
*anaheshimu watu
*anamtukuza na kumuogopa Mungu
*hali Ubuyu wa rangi barabarani mpaka Mdomo wake kuwa mwekundu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…