tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Tumekuwa tukiwashuhudia akina mama wakihangaika huku na huku wakitafuta njia mbalimbali za uzazi wa mpango au kufunga kizazi.
Ni nadra kuwakuta akina baba wakijishughulisha na mambo hayo hata kama wanafikiri hawahitaji kuongeza watoto wengine. Ni muda mwafaka sasa wanaume kuchukua hatua na kufunga uzazi.
Mwanaume anaweza kufunga uzazi na mambo mengine ya ndoa yakaendelea kama kawaida. Wana JF mpo?
Ni nadra kuwakuta akina baba wakijishughulisha na mambo hayo hata kama wanafikiri hawahitaji kuongeza watoto wengine. Ni muda mwafaka sasa wanaume kuchukua hatua na kufunga uzazi.
Mwanaume anaweza kufunga uzazi na mambo mengine ya ndoa yakaendelea kama kawaida. Wana JF mpo?