Wanaume ficha zao siri moyoni

Wanaume ficha zao siri moyoni

Acha kukasingizia katoto ka watu ndio kwanza kapo chuo,
Hakana mtoto hata mmoja.
Tena katulivu muda wote kanawaza masomo tu ila ni kacheshi, kastaarabu, kapole, kanajiheshimu halafu pia ni mchamungu.

Maendeleo hayana chama
Hakika hujamjua vizuri katoto kazuri,amekudanganya yupo vhuo wakati analea tutoto tuwili, anapenda mgegedo hatari!
Mbaya zaidi ni kwamba anapenda kuolewa ila hawezi kube-have kama mke!
 
Hakika hujamjua vizuri katoto kazuri,amekudanganya yupo vhuo wakati analea tutoto tuwili, anapenda mgegedo hatari!
Mbaya zaidi ni kwamba anapenda kuolewa ila hawezi kube-have kama mke!

Nmemwita aje kujibu shutuma naona kimya
katoto kazuri hebu njoo huku mpenzi ujisafishe.

Maendeleo hayana chama
 

Nmemwita aje kujibu shutuma naona kimya
katoto kazuri hebu njoo huku mpenzi ujisafishe.

Maendeleo hayana chama
Hahahaaaa
Aje kwa kweli namsubiri kwa hamu sana,maana kwa pale njiro nilikuwa nikikatiza kidume najiona mjanja kwa kumiliki katoto kazuri,kumbe wanaomjua wananicheck tu nawasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!
 
Hahahaaaa
Aje kwa kweli namsubiri kwa hamu sana,maana kwa pale njiro nilikuwa nikikatiza kidume najiona mjanja kwa kumiliki katoto kazuri,kumbe wanaomjua wananicheck tu nawasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!
Kwa hio masela walikua wanakuchora tu kwa jinsi ulivyoingia chaka?
Ila hata hivyo mkuu nikupe hongera maana najua jinsi ulivyofaidi,
katoto kazuri kwa macho tu kanaonekana katamuuu, sipati picha jinsi ulivyokua unajipigia show za kibabe mpaka katoto ka watu kanaomba maji kwa jinsi koo lilivyokauka.

Maendeleo hayana chama
 
Hivi humu wote mko Single? Au inategemea na Mwanaume/Mwanamke unayezungumza nae kwa wakati huo?
 
Kwa hio masela walikua wanakuchora tu kwa jinsi ulivyoingia chaka?
Ila hata hivyo mkuu nikupe hongera maana najua jinsi ulivyofaidi,
katoto kazuri kwa macho tu kanaonekana katamuuu, sipati picha jinsi ulivyokua unajipigia show za kibabe mpaka katoto ka watu kanaomba maji kwa jinsi koo lilivyokauka.

Maendeleo hayana chama
Hahahaaaa,
Hapo unanitega mkuu,ya chumbani kule ngoja nikae kimya! Maana hawachelewi kuja kuanza kuponda hapa,utasikia "kwanza nilikuwa nakuvumilia tu,dushe lenyewe kuuubwa,linaumiza tu"
mambo haya bhanaaaaa!!
 
Wanaume ni watu waaminifu sana,ndio maana kuna mr & mrs,wale wasiofikia malengo hayo wanatakiwa wajitathmini, inawezekana wakawa wana kasoro bila kujijua.
 
Wadau mambo zenu.
Wanaume sio wakweli kwa asilimka 99 kwani wao huwa na siri moyoni kabisa .
Na hata umdadisi ni ngumu kujua anakuonaje .
Hii nimesema hivyo kwa sababu imetokea mahali pengi na wasichana wanaachwa solemba huku wako na mawazo debe.
Type za wanaume wapoteza muda
PRETENDERS
Wanaume wa sampuli hizi wao huwabembeleza mademu zao kuwadanganya kwa kila mmoja atawaowa so asilimia kubwa wanajiachia nalujisahau hapo hakuna kitu anaamini ataolewa na J wake kumbe mtu mpitaji tu ila kakaa design ya mwanaume mwenye malengo na hao mademu kumbe anwatumia wengine hadi wanawatoto na hao wanaume.
Unakuta hao wanaume wanawaita mademu zao my wife na wife to be nawao katika kuitwa hivyo na mesage za mapenzi na muamala kidogo basi halali unakuta mwanamke ka msave my husband kutwa kwa waganga ili aolewe.
FAKERS
Wanaume wasampuli hizi wao huwa wanajali sana mademu sehemu nzuri hupeleka mtu wake wao masaa yote yupo ready kujitoa mwanga kwa hao mademu zao jamani .
Na hao wanaume wanawapeleka hao mademu home kwao watambulike kuwa atamwoa na anawatambulisha kila mahali ili ajenge uwaminifu.
Kila saa anakujulia hali anakutoa lunch amd dinner na ukipata shida yupo hapo kumbe yeye kaona kitu kwako ndo anakivut akipate na akikipata anasepa humuoni.
Nahao wanaume wanafanya research ya hao wanawake na kuanza kumfukuzia.
Unakuta mademu wengine wanahela so wakibembelezwa tu na matunzo ya vimwezi huyo anamtambulisha kwao na wazazi huanza kumuhudumia huyo mwanaume wakijua ni mkwe kijana akijiweka sawa huyo anasepa humuoni.
Hata ukieenda kwao wanasababu na ukiuliza marafiki ndio zerooo.
Hutompata kila mtu anachakujibu.
Nahumuoni tena na hujui labda kakuachia mimba au nini.

BABES BABES
Hawa sanpuli zao huwa ni starehe tu nakula chakula yako kila siku hakuambi vitu vinavyojenga nivinavyobomoa.
Utasikia babes njoo hapa kariakoo unaenda anakununuli nguo na kukupa mlo fresh huko mbezi au kunduchi kwenye hoteli nzuri au mgahawa mkitoka lazima mpitie guest anakutumia ili afidie vitu ulivyospend kwa hela zake.
Sasa unakuta wewe umemuweka eti ndio the man of your dreams kumbe ni mwanaume ambaye hupenda raha sana anakula good time huyu yeye haondoki bila kuruka ukuta nakukufumua.
Anakuambia babes please leo tu naomba anakubembeleza mara mbili hivi unatoa anakufumua mavi balaa .
Halafu ndio unanogewa inakuwa kamchezo kenu kachafu ila ikishazeeka yeye husepa na hutomsikia tena ukiwa umechakaa.
Ila hao mababes unashangaa anakudekezea nakukubembeleza mpaka unajikuta umefanya vitu mpaka shetani anashangaa.

KUNA HAWA WANAITWA SHAPU BOYS
Hawa hata uwe beyonce anakupata kukula anakukula sana tu.
Nayeye ni faster mara moja chapu harudii ila huo mziki wake utakumbuka na ukimtafuta mkewe anapokea simu na hauna jinsi.
Anaweza hata guest ukajikut unalipa na hajakupa chochote chake umeshavua pichu uko yes no yes no na bili zote umelipa ila akiwa anakuhitaji kama alidata humkatalii hata kama alikuuzi .

KUNA HAO WANAJISHAUA ILA NO MONEY
Hawa sasa wanakuwa kwa uongo wao na kwa kugongea nguo za wenzake na magari huwa anaweza kuwala mademu wakali kisa akili yake baadae ndio unajua hata boxer uliomvua huo usiku aliazima kwa juma upo ila mzigo kala kakudanganya anafanya kazi ulaya yeye anaishi mbezi na pia hajui shida kwa sababu babu yake au baba yake alikuwa waziri mkuu na mambo mengi..
So unamkubalia unajikuta anajilia kirahisi mzigo kuliko huyo unayemringia mwenys maana.
Naanajua kukuza fresh atakupeleka kwa best zake utakula mtakunywa na mtaenda masaki au mbezi kwenyw bonge la nyumba kumbe sio yake .
Ni ili wewe uamini usiku unaota kumbe wewe umedanganywa umepakwa mavi ukizani gold.
Hao ni baadhi ya wananaume unaozani mnaofuture nao.
Kama mnabisha shauri yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole na safari ndefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani brother Kila thread unauliza da Jane,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ebu mtafute member mmoja humu ndani ana ID ya Nyeusi Chai/ Ukiibadili hapo mwisho kwa lugha ya bepari utapata maana yake, alafu chukua herufi ya kwanza kwenye sentesi ya pili na kisha unganisha mbele kwenye sentesi ya mwanzo.
Huyu jamaa nasikia anaukwasi wa kutosha, atakusimulia alicho mfanyia Dada Jenifa mmoja wa humu ndani wallah...
 
Bila ujanja hapa mjini huwez kula demu, utaishia kula kwa macho tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pole sana, na mimi sirudi kamwe,sio kwa sababu nina tabia mbaya,ila kwa sababu za tabia zako za kishenzi!!!
Mwanamke wakati wote gubu, kila kitu unataka wewe ndo u-control,marafiki zako ni wanaume tu,na muda mwingi unatumiana nao picha picha,mara wamekuita majina yanayoashiria mahusiano kabisaaa,nakuuliza unadai "they are my friends" hata kama nimekuzalisha, sibaki hapo,naondokaa na nimeshaondoka!

Usipoangalia unazalishwa mtoto wa tatu, shauri yako!!!
Wasalimie sana hapo NJIRO ARUSHA!
Ya kweli haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wale wakukutana wkend waananza kukupigia simu kuanzia alhamisi au Ijumaa kutengeneza mazingira wapo kundi gani.
Kuna watu watahisi mimi pumuuuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau mambo zenu.
Wanaume sio wakweli kwa asilimka 99 kwani wao huwa na siri moyoni kabisa .
Na hata umdadisi ni ngumu kujua anakuonaje .
Hii nimesema hivyo kwa sababu imetokea mahali pengi na wasichana wanaachwa solemba huku wako na mawazo debe.
Type za wanaume wapoteza muda
PRETENDERS
Wanaume wa sampuli hizi wao huwabembeleza mademu zao kuwadanganya kwa kila mmoja atawaowa so asilimia kubwa wanajiachia nalujisahau hapo hakuna kitu anaamini ataolewa na J wake kumbe mtu mpitaji tu ila kakaa design ya mwanaume mwenye malengo na hao mademu kumbe anwatumia wengine hadi wanawatoto na hao wanaume.
Unakuta hao wanaume wanawaita mademu zao my wife na wife to be nawao katika kuitwa hivyo na mesage za mapenzi na muamala kidogo basi halali unakuta mwanamke ka msave my husband kutwa kwa waganga ili aolewe.
FAKERS
Wanaume wasampuli hizi wao huwa wanajali sana mademu sehemu nzuri hupeleka mtu wake wao masaa yote yupo ready kujitoa mwanga kwa hao mademu zao jamani .
Na hao wanaume wanawapeleka hao mademu home kwao watambulike kuwa atamwoa na anawatambulisha kila mahali ili ajenge uwaminifu.
Kila saa anakujulia hali anakutoa lunch amd dinner na ukipata shida yupo hapo kumbe yeye kaona kitu kwako ndo anakivut akipate na akikipata anasepa humuoni.
Nahao wanaume wanafanya research ya hao wanawake na kuanza kumfukuzia.
Unakuta mademu wengine wanahela so wakibembelezwa tu na matunzo ya vimwezi huyo anamtambulisha kwao na wazazi huanza kumuhudumia huyo mwanaume wakijua ni mkwe kijana akijiweka sawa huyo anasepa humuoni.
Hata ukieenda kwao wanasababu na ukiuliza marafiki ndio zerooo.
Hutompata kila mtu anachakujibu.
Nahumuoni tena na hujui labda kakuachia mimba au nini.

BABES BABES
Hawa sanpuli zao huwa ni starehe tu nakula chakula yako kila siku hakuambi vitu vinavyojenga nivinavyobomoa.
Utasikia babes njoo hapa kariakoo unaenda anakununuli nguo na kukupa mlo fresh huko mbezi au kunduchi kwenye hoteli nzuri au mgahawa mkitoka lazima mpitie guest anakutumia ili afidie vitu ulivyospend kwa hela zake.
Sasa unakuta wewe umemuweka eti ndio the man of your dreams kumbe ni mwanaume ambaye hupenda raha sana anakula good time huyu yeye haondoki bila kuruka ukuta nakukufumua.
Anakuambia babes please leo tu naomba anakubembeleza mara mbili hivi unatoa anakufumua mavi balaa .
Halafu ndio unanogewa inakuwa kamchezo kenu kachafu ila ikishazeeka yeye husepa na hutomsikia tena ukiwa umechakaa.
Ila hao mababes unashangaa anakudekezea nakukubembeleza mpaka unajikuta umefanya vitu mpaka shetani anashangaa.

KUNA HAWA WANAITWA SHAPU BOYS
Hawa hata uwe beyonce anakupata kukula anakukula sana tu.
Nayeye ni faster mara moja chapu harudii ila huo mziki wake utakumbuka na ukimtafuta mkewe anapokea simu na hauna jinsi.
Anaweza hata guest ukajikut unalipa na hajakupa chochote chake umeshavua pichu uko yes no yes no na bili zote umelipa ila akiwa anakuhitaji kama alidata humkatalii hata kama alikuuzi .

KUNA HAO WANAJISHAUA ILA NO MONEY
Hawa sasa wanakuwa kwa uongo wao na kwa kugongea nguo za wenzake na magari huwa anaweza kuwala mademu wakali kisa akili yake baadae ndio unajua hata boxer uliomvua huo usiku aliazima kwa juma upo ila mzigo kala kakudanganya anafanya kazi ulaya yeye anaishi mbezi na pia hajui shida kwa sababu babu yake au baba yake alikuwa waziri mkuu na mambo mengi..
So unamkubalia unajikuta anajilia kirahisi mzigo kuliko huyo unayemringia mwenys maana.
Naanajua kukuza fresh atakupeleka kwa best zake utakula mtakunywa na mtaenda masaki au mbezi kwenyw bonge la nyumba kumbe sio yake .
Ni ili wewe uamini usiku unaota kumbe wewe umedanganywa umepakwa mavi ukizani gold.
Hao ni baadhi ya wananaume unaozani mnaofuture nao.
Kama mnabisha shauri yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
dada pole sana ila nyie ni kenge sana mnatembea na wazee wetu afu nyie ndo waongo waongo sana
 
Back
Top Bottom