Mim nshasema katoto kazuri nampenda..... Sasa nashangaa nani anaye mchezea mchezo mchafu hivii!!!!Wadau mambo zenu.
Wanaume sio wakweli kwa asilimka 99 kwani wao huwa na siri moyoni kabisa .
Na hata umdadisi ni ngumu kujua anakuonaje .
Hii nimesema hivyo kwa sababu imetokea mahali pengi na wasichana wanaachwa solemba huku wako na mawazo debe.
Type za wanaume wapoteza muda
PRETENDERS
Wanaume wa sampuli hizi wao huwabembeleza mademu zao kuwadanganya kwa kila mmoja atawaowa so asilimia kubwa wanajiachia nalujisahau hapo hakuna kitu anaamini ataolewa na J wake kumbe mtu mpitaji tu ila kakaa design ya mwanaume mwenye malengo na hao mademu kumbe anwatumia wengine hadi wanawatoto na hao wanaume.
Unakuta hao wanaume wanawaita mademu zao my wife na wife to be nawao katika kuitwa hivyo na mesage za mapenzi na muamala kidogo basi halali unakuta mwanamke ka msave my husband kutwa kwa waganga ili aolewe.
FAKERS
Wanaume wasampuli hizi wao huwa wanajali sana mademu sehemu nzuri hupeleka mtu wake wao masaa yote yupo ready kujitoa mwanga kwa hao mademu zao jamani .
Na hao wanaume wanawapeleka hao mademu home kwao watambulike kuwa atamwoa na anawatambulisha kila mahali ili ajenge uwaminifu.
Kila saa anakujulia hali anakutoa lunch amd dinner na ukipata shida yupo hapo kumbe yeye kaona kitu kwako ndo anakivut akipate na akikipata anasepa humuoni.
Nahao wanaume wanafanya research ya hao wanawake na kuanza kumfukuzia.
Unakuta mademu wengine wanahela so wakibembelezwa tu na matunzo ya vimwezi huyo anamtambulisha kwao na wazazi huanza kumuhudumia huyo mwanaume wakijua ni mkwe kijana akijiweka sawa huyo anasepa humuoni.
Hata ukieenda kwao wanasababu na ukiuliza marafiki ndio zerooo.
Hutompata kila mtu anachakujibu.
Nahumuoni tena na hujui labda kakuachia mimba au nini.
BABES BABES
Hawa sanpuli zao huwa ni starehe tu nakula chakula yako kila siku hakuambi vitu vinavyojenga nivinavyobomoa.
Utasikia babes njoo hapa kariakoo unaenda anakununuli nguo na kukupa mlo fresh huko mbezi au kunduchi kwenye hoteli nzuri au mgahawa mkitoka lazima mpitie guest anakutumia ili afidie vitu ulivyospend kwa hela zake.
Sasa unakuta wewe umemuweka eti ndio the man of your dreams kumbe ni mwanaume ambaye hupenda raha sana anakula good time huyu yeye haondoki bila kuruka ukuta nakukufumua.
Anakuambia babes please leo tu naomba anakubembeleza mara mbili hivi unatoa anakufumua mavi balaa .
Halafu ndio unanogewa inakuwa kamchezo kenu kachafu ila ikishazeeka yeye husepa na hutomsikia tena ukiwa umechakaa.
Ila hao mababes unashangaa anakudekezea nakukubembeleza mpaka unajikuta umefanya vitu mpaka shetani anashangaa.
KUNA HAWA WANAITWA SHAPU BOYS
Hawa hata uwe beyonce anakupata kukula anakukula sana tu.
Nayeye ni faster mara moja chapu harudii ila huo mziki wake utakumbuka na ukimtafuta mkewe anapokea simu na hauna jinsi.
Anaweza hata guest ukajikut unalipa na hajakupa chochote chake umeshavua pichu uko yes no yes no na bili zote umelipa ila akiwa anakuhitaji kama alidata humkatalii hata kama alikuuzi .
KUNA HAO WANAJISHAUA ILA NO MONEY
Hawa sasa wanakuwa kwa uongo wao na kwa kugongea nguo za wenzake na magari huwa anaweza kuwala mademu wakali kisa akili yake baadae ndio unajua hata boxer uliomvua huo usiku aliazima kwa juma upo ila mzigo kala kakudanganya anafanya kazi ulaya yeye anaishi mbezi na pia hajui shida kwa sababu babu yake au baba yake alikuwa waziri mkuu na mambo mengi..
So unamkubalia unajikuta anajilia kirahisi mzigo kuliko huyo unayemringia mwenys maana.
Naanajua kukuza fresh atakupeleka kwa best zake utakula mtakunywa na mtaenda masaki au mbezi kwenyw bonge la nyumba kumbe sio yake .
Ni ili wewe uamini usiku unaota kumbe wewe umedanganywa umepakwa mavi ukizani gold.
Hao ni baadhi ya wananaume unaozani mnaofuture nao.
Kama mnabisha shauri yenu
Sent using Jamii Forums mobile app


Pole sana, na mimi sirudi kamwe,sio kwa sababu nina tabia mbaya,ila kwa sababu za tabia zako za kishenzi!!!Wadau mambo zenu.
Wanaume sio wakweli kwa asilimka 99 kwani wao huwa na siri moyoni kabisa .
Na hata umdadisi ni ngumu kujua anakuonaje .
Hii nimesema hivyo kwa sababu imetokea mahali pengi na wasichana wanaachwa solemba huku wako na mawazo debe.
Type za wanaume wapoteza muda
PRETENDERS
Wanaume wa sampuli hizi wao huwabembeleza mademu zao kuwadanganya kwa kila mmoja atawaowa so asilimia kubwa wanajiachia nalujisahau hapo hakuna kitu anaamini ataolewa na J wake kumbe mtu mpitaji tu ila kakaa design ya mwanaume mwenye malengo na hao mademu kumbe anwatumia wengine hadi wanawatoto na hao wanaume.
Unakuta hao wanaume wanawaita mademu zao my wife na wife to be nawao katika kuitwa hivyo na mesage za mapenzi na muamala kidogo basi halali unakuta mwanamke ka msave my husband kutwa kwa waganga ili aolewe.
FAKERS
Wanaume wasampuli hizi wao huwa wanajali sana mademu sehemu nzuri hupeleka mtu wake wao masaa yote yupo ready kujitoa mwanga kwa hao mademu zao jamani .
Na hao wanaume wanawapeleka hao mademu home kwao watambulike kuwa atamwoa na anawatambulisha kila mahali ili ajenge uwaminifu.
Kila saa anakujulia hali anakutoa lunch amd dinner na ukipata shida yupo hapo kumbe yeye kaona kitu kwako ndo anakivut akipate na akikipata anasepa humuoni.
Nahao wanaume wanafanya research ya hao wanawake na kuanza kumfukuzia.
Unakuta mademu wengine wanahela so wakibembelezwa tu na matunzo ya vimwezi huyo anamtambulisha kwao na wazazi huanza kumuhudumia huyo mwanaume wakijua ni mkwe kijana akijiweka sawa huyo anasepa humuoni.
Hata ukieenda kwao wanasababu na ukiuliza marafiki ndio zerooo.
Hutompata kila mtu anachakujibu.
Nahumuoni tena na hujui labda kakuachia mimba au nini.
BABES BABES
Hawa sanpuli zao huwa ni starehe tu nakula chakula yako kila siku hakuambi vitu vinavyojenga nivinavyobomoa.
Utasikia babes njoo hapa kariakoo unaenda anakununuli nguo na kukupa mlo fresh huko mbezi au kunduchi kwenye hoteli nzuri au mgahawa mkitoka lazima mpitie guest anakutumia ili afidie vitu ulivyospend kwa hela zake.
Sasa unakuta wewe umemuweka eti ndio the man of your dreams kumbe ni mwanaume ambaye hupenda raha sana anakula good time huyu yeye haondoki bila kuruka ukuta nakukufumua.
Anakuambia babes please leo tu naomba anakubembeleza mara mbili hivi unatoa anakufumua mavi balaa .
Halafu ndio unanogewa inakuwa kamchezo kenu kachafu ila ikishazeeka yeye husepa na hutomsikia tena ukiwa umechakaa.
Ila hao mababes unashangaa anakudekezea nakukubembeleza mpaka unajikuta umefanya vitu mpaka shetani anashangaa.
KUNA HAWA WANAITWA SHAPU BOYS
Hawa hata uwe beyonce anakupata kukula anakukula sana tu.
Nayeye ni faster mara moja chapu harudii ila huo mziki wake utakumbuka na ukimtafuta mkewe anapokea simu na hauna jinsi.
Anaweza hata guest ukajikut unalipa na hajakupa chochote chake umeshavua pichu uko yes no yes no na bili zote umelipa ila akiwa anakuhitaji kama alidata humkatalii hata kama alikuuzi .
KUNA HAO WANAJISHAUA ILA NO MONEY
Hawa sasa wanakuwa kwa uongo wao na kwa kugongea nguo za wenzake na magari huwa anaweza kuwala mademu wakali kisa akili yake baadae ndio unajua hata boxer uliomvua huo usiku aliazima kwa juma upo ila mzigo kala kakudanganya anafanya kazi ulaya yeye anaishi mbezi na pia hajui shida kwa sababu babu yake au baba yake alikuwa waziri mkuu na mambo mengi..
So unamkubalia unajikuta anajilia kirahisi mzigo kuliko huyo unayemringia mwenys maana.
Naanajua kukuza fresh atakupeleka kwa best zake utakula mtakunywa na mtaenda masaki au mbezi kwenyw bonge la nyumba kumbe sio yake .
Ni ili wewe uamini usiku unaota kumbe wewe umedanganywa umepakwa mavi ukizani gold.
Hao ni baadhi ya wananaume unaozani mnaofuture nao.
Kama mnabisha shauri yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umebadili style,,now Ni mwendo wa hii pichaWatu na experience zenu aiseeeeee....View attachment 1049837




ahaaahaaahaa hilo kundi LA shapu boys alilolielezea ndo kazidi kujianika jinsi gan alivyo boya ....We noma inamaana makundi hayo yote yameshakugegeda?
Ahaahaaahaa upuuzi mtupu
hahahaaaa vishaumana tayari.Pole sana, na mimi sirudi kamwe,sio kwa sababu nina tabia mbaya,ila kwa sababu za tabia zako za kishenzi!!!
Mwanamke wakati wote gubu, kila kitu unataka wewe ndo u-control,marafiki zako ni wanaume tu,na muda mwingi unatumiana nao picha picha,mara wamekuita majina yanayoashiria mahusiano kabisaaa,nakuuliza unadai "they are my friends" hata kama nimekuzalisha, sibaki hapo,naondokaa na nimeshaondoka!
Usipoangalia unazalishwa mtoto wa tatu, shauri yako!!!
Wasalimie sana hapo NJIRO ARUSHA!
Mkuu umemaliza mada ...wanaume tuna uwezo wa kujua tabia ya mwanamke kwa kumwangalia tu,
Ukiona umechezewa na kuachwa ujue mwanaume alikuona huoleki tangu siku ya kwanza.
Hapana bhana sio 99% ya wanaume. Ingawa nakubari kwamba yote uliyoyaongea yapo mitaani.Wadau mambo zenu.
Wanaume sio wakweli kwa asilimka 99 kwani wao huwa na siri moyoni kabisa .
Na hata umdadisi ni ngumu kujua anakuonaje .
Hii nimesema hivyo kwa sababu imetokea mahali pengi na wasichana wanaachwa solemba huku wako na mawazo debe.
Type za wanaume wapoteza muda
PRETENDERS
Wanaume wa sampuli hizi wao huwabembeleza mademu zao kuwadanganya kwa kila mmoja atawaowa so asilimia kubwa wanajiachia nalujisahau hapo hakuna kitu anaamini ataolewa na J wake kumbe mtu mpitaji tu ila kakaa design ya mwanaume mwenye malengo na hao mademu kumbe anwatumia wengine hadi wanawatoto na hao wanaume.
Unakuta hao wanaume wanawaita mademu zao my wife na wife to be nawao katika kuitwa hivyo na mesage za mapenzi na muamala kidogo basi halali unakuta mwanamke ka msave my husband kutwa kwa waganga ili aolewe.
FAKERS
Wanaume wasampuli hizi wao huwa wanajali sana mademu sehemu nzuri hupeleka mtu wake wao masaa yote yupo ready kujitoa mwanga kwa hao mademu zao jamani .
Na hao wanaume wanawapeleka hao mademu home kwao watambulike kuwa atamwoa na anawatambulisha kila mahali ili ajenge uwaminifu.
Kila saa anakujulia hali anakutoa lunch amd dinner na ukipata shida yupo hapo kumbe yeye kaona kitu kwako ndo anakivut akipate na akikipata anasepa humuoni.
Nahao wanaume wanafanya research ya hao wanawake na kuanza kumfukuzia.
Unakuta mademu wengine wanahela so wakibembelezwa tu na matunzo ya vimwezi huyo anamtambulisha kwao na wazazi huanza kumuhudumia huyo mwanaume wakijua ni mkwe kijana akijiweka sawa huyo anasepa humuoni.
Hata ukieenda kwao wanasababu na ukiuliza marafiki ndio zerooo.
Hutompata kila mtu anachakujibu.
Nahumuoni tena na hujui labda kakuachia mimba au nini.
BABES BABES
Hawa sanpuli zao huwa ni starehe tu nakula chakula yako kila siku hakuambi vitu vinavyojenga nivinavyobomoa.
Utasikia babes njoo hapa kariakoo unaenda anakununuli nguo na kukupa mlo fresh huko mbezi au kunduchi kwenye hoteli nzuri au mgahawa mkitoka lazima mpitie guest anakutumia ili afidie vitu ulivyospend kwa hela zake.
Sasa unakuta wewe umemuweka eti ndio the man of your dreams kumbe ni mwanaume ambaye hupenda raha sana anakula good time huyu yeye haondoki bila kuruka ukuta nakukufumua.
Anakuambia babes please leo tu naomba anakubembeleza mara mbili hivi unatoa anakufumua mavi balaa .
Halafu ndio unanogewa inakuwa kamchezo kenu kachafu ila ikishazeeka yeye husepa na hutomsikia tena ukiwa umechakaa.
Ila hao mababes unashangaa anakudekezea nakukubembeleza mpaka unajikuta umefanya vitu mpaka shetani anashangaa.
KUNA HAWA WANAITWA SHAPU BOYS
Hawa hata uwe beyonce anakupata kukula anakukula sana tu.
Nayeye ni faster mara moja chapu harudii ila huo mziki wake utakumbuka na ukimtafuta mkewe anapokea simu na hauna jinsi.
Anaweza hata guest ukajikut unalipa na hajakupa chochote chake umeshavua pichu uko yes no yes no na bili zote umelipa ila akiwa anakuhitaji kama alidata humkatalii hata kama alikuuzi .
KUNA HAO WANAJISHAUA ILA NO MONEY
Hawa sasa wanakuwa kwa uongo wao na kwa kugongea nguo za wenzake na magari huwa anaweza kuwala mademu wakali kisa akili yake baadae ndio unajua hata boxer uliomvua huo usiku aliazima kwa juma upo ila mzigo kala kakudanganya anafanya kazi ulaya yeye anaishi mbezi na pia hajui shida kwa sababu babu yake au baba yake alikuwa waziri mkuu na mambo mengi..
So unamkubalia unajikuta anajilia kirahisi mzigo kuliko huyo unayemringia mwenys maana.
Naanajua kukuza fresh atakupeleka kwa best zake utakula mtakunywa na mtaenda masaki au mbezi kwenyw bonge la nyumba kumbe sio yake .
Ni ili wewe uamini usiku unaota kumbe wewe umedanganywa umepakwa mavi ukizani gold.
Hao ni baadhi ya wananaume unaozani mnaofuture nao.
Kama mnabisha shauri yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu, yote ninayafanya ili kuipata furaha yangu....
Ooooohooo!!hahahaaaa vishaumana tayari.
Ila katoto kazuri kana tabia nzuri we unakasingizia tu.
Maendeleo hayana chama
ahaaahaaahaa hilo kundi LA shapu boys alilolielezea ndo kazidi kujianika jinsi gan alivyo boya ....
From profile picture to proper future
Acha kukasingizia katoto ka watu ndio kwanza kapo chuo,Ooooohooo!!
kazuri kwa muonekano,kanaonekana kacheshi!
Nikajitutumua kidume,nisijiulize kwanini jamaa aliyemzalisha mtoto wa kwanza alitimua mbio na kwenda kuoa kijijini!
Nilichokutana nacho nakijua mwenyewe!
Katoto kazuri badilika my dear,ukibadilika kabisa kabisa nitarudi kwa moyo mweupeee,lakini ukiendelea hivyo hivyo hakika lazima uongezwe mtoto wa tatu na utakimbiwa tena!!hahahaaaa!
Hata filamu huangaliii dah ningekuwa niko hai kama hao wote wamenipitia saivi ningekuwa na mkongojo nasikilizia maumivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo baby!! I miss you mwaah!!Hata filamu huangaliii dah ningekuwa niko hai kama hao wote wamenipitia saivi ningekuwa na mkongojo nasikilizia maumivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀Mkuu, kwenye hii simulizi mimi nilisha pita huko yapata mwaka wa saba sasa.
Lakini kwenye gurupu kama ulivyo uliza, mimi ni "O"