Kweli ni kwamba uzuri wa mwanamke 1:Ni tabia 2:Ni umbo lake 3:Sura.Ila sasa tabia imejificha kinachochukua nafasi badala yake ni umbo na ukishapishana nae umeshamuona sura na umbolake kwa mbele(kifua) kinachofuata nikuangalia mzigo halafu unarudisha akili kwenye tabia ndomana lazima tugeuke ni(mtazamo tu)