Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,392
Mbona mnatuchanganya?
Eti mnasema uzuri wa mwanamke ni tabia!
Kama uzuri wa mwanamke ni tabia, mbona tukipita mbele yenu mnaangalia makalio yetu?
Au tabia za wanawake ziko makalioni?
Ukweli ni kwamba wanaume wengi huona makalio ya wanawake ni muhimu kuliko tabia
Uongo?
Nasema na nyie #TeamBazazi
Kaizer, utafiti, Mentor, Asprin, KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Nyani Ngabu, Mndengereko, Elli, ayanda, mwekundu
Last edited by a moderator: