tian JF-Expert Member Jul 27, 2007 1,769 528 Apr 7, 2014 #1 Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede, Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa, Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu? Kutulia na mke mmoja hamuwezi? BADILIKA TAFADHALI.
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede, Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa, Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu? Kutulia na mke mmoja hamuwezi? BADILIKA TAFADHALI.
ICHANA JF-Expert Member May 10, 2012 4,766 3,583 Apr 7, 2014 #2 Tatizo ni ukitombi Tabia yake mbovu hat hizo ahadi ni ndoto tu kutimiza
Nilufer JF-Expert Member May 10, 2012 9,316 12,826 Apr 7, 2014 #4 Eti wanadai njia kuu ina foleni .....
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Apr 7, 2014 #5 Eti wanasemaga ndo asili yao kuwa na michepuko!!
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Apr 7, 2014 #7 DEMBA said: Eti wanadai njia kuu ina foleni ..... Click to expand... ha ha ha nimekumiss!!!
Sizinga Platinum Member Oct 30, 2007 9,101 6,027 Apr 7, 2014 #10 Wadada ndo kuzidi manake hata wakiwa kwenye ndoa wanasema wako single. Na ukiwatongoza hawakatai.
utafiti JF-Expert Member Jul 18, 2013 12,783 7,657 Apr 7, 2014 #12 Tubadilike au huyo rafiki yako abadilike?
Mashaxizo JF-Expert Member Jun 13, 2013 6,707 3,329 Apr 7, 2014 #13 Tyta said: ulimuuliza dini gani tian>? Click to expand... Huu udini umeuanza lini Tayta? ... Hivi ni watu wa dini gani hawachepuki?
Tyta said: ulimuuliza dini gani tian>? Click to expand... Huu udini umeuanza lini Tayta? ... Hivi ni watu wa dini gani hawachepuki?
Excel JF-Expert Member Jul 8, 2011 19,745 10,076 Apr 7, 2014 #14 wengi wa wanaochepuka huwa wana dushelele kuanzia nchi 6.5 na kuendelea fuatilia hii case study utaniambia kuwa ni kweli. yani ukishasifiwa tu na Munkari, basi utataka ichana, sweetlicious, preta, karucee, na king'asti wajue! lazima uchepuke tu kutangaza ubingwa..
wengi wa wanaochepuka huwa wana dushelele kuanzia nchi 6.5 na kuendelea fuatilia hii case study utaniambia kuwa ni kweli. yani ukishasifiwa tu na Munkari, basi utataka ichana, sweetlicious, preta, karucee, na king'asti wajue! lazima uchepuke tu kutangaza ubingwa..
Nilufer JF-Expert Member May 10, 2012 9,316 12,826 Apr 7, 2014 #15 utafiti said: tubadilike au huyo rafiki yako abadilike? Click to expand... shem vipi ww? Wote wenye tabia kama hiyo wabadilike...
utafiti said: tubadilike au huyo rafiki yako abadilike? Click to expand... shem vipi ww? Wote wenye tabia kama hiyo wabadilike...
Nilufer JF-Expert Member May 10, 2012 9,316 12,826 Apr 7, 2014 #16 miss you to my dia.... Munkari said: ha ha ha nimekumiss!!! Click to expand...
utafiti JF-Expert Member Jul 18, 2013 12,783 7,657 Apr 7, 2014 #17 DEMBA said: shem vipi ww? Wote wenye tabia kama hiyo wabadilike... Click to expand... Shem wangu sijui umepotea wapi??? Kila nikizoom sikuoni shem, mzima???
DEMBA said: shem vipi ww? Wote wenye tabia kama hiyo wabadilike... Click to expand... Shem wangu sijui umepotea wapi??? Kila nikizoom sikuoni shem, mzima???
Vituka JF-Expert Member Nov 9, 2011 2,257 1,247 Apr 7, 2014 #18 Hilo ni janga jamani. Kweli wanaume wabadilike na huwa sifahamu kwa nn wanaoa Kama hawawezi kukaa na mwanamke mmoja
Hilo ni janga jamani. Kweli wanaume wabadilike na huwa sifahamu kwa nn wanaoa Kama hawawezi kukaa na mwanamke mmoja
Nilufer JF-Expert Member May 10, 2012 9,316 12,826 Apr 7, 2014 #20 bukheri kabisaaa.....shem wangu utafiti said: Shem wangu sijui umepotea wapi??? Kila nikizoom sikuoni shem, mzima??? Click to expand...
bukheri kabisaaa.....shem wangu utafiti said: Shem wangu sijui umepotea wapi??? Kila nikizoom sikuoni shem, mzima??? Click to expand...