Wanaume bana, wanapeeenda kuchungulia

Tumia hizo red

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Heee wewe kumbe nawe unatumia sayansi hiyo lol

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Mbuzi Mzee kwanini na wewe uliingia viGuest vya uchochoroni ukiwa na 70,000/= kwani ndio alizozichukua hajakuacha na kitu?
 
Mbuzi Mzee kwanini na wewe uliingia viGuest vya uchochoroni ukiwa na 70,000/= kwani ndio alizozichukua hajakuacha na kitu?

Mkuu hela yote ya maji imekwenda. Sijui nitafanya nini wiki hii
 
Hizo fedha alichukua kwa nguvu, chezeya mabinti wa dar weye. Yaani umt.... bure, thubutu!
 
Mbona mchunaji mwenyewe hajaridhika, afu wewe unalalamika. Mbuzi siku ukichunwa utaachiwwa kwato zako na taulo la gest. Muulize mh. mzee wa smg, laptop, simu 3,USD kilimtokea nini pale moro.:shetani:
 
Occultism, is the only remedy 4 illiterates. Mbuzi.............................................?
 
Uyu alikua anasasambua kwenye kitchen party akatuzwa izo hela.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kumbe! buzi zee lazima lichunwe na vile ngozi ni ngumu, kazi kweli kweli nguvu hasa zinahitajika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…