Ubinafsi unatumaliza. Twayaona haya na tunafumba macho.
Lkn kwenye hizo picha si wote wanafanyishwa kwa ujira, yapo mazingira mtoto inapaswa ashirikishwe ili asiwe na tabia kama za zomba na MAFILILI ukubwani (za kutegemea kuishi kwa ASANTE NAPE)
nchi hii ina watu mazeta sana..sasa hilo la nini yaani hilo ndo linakuwa JWTZ afu linazama mtoni huko comoro tunapoteza muda kufanya rambirambi..aggghhhh
Kama multiple choice questions hapo Mbuzi Mzee jibu ni NONE OF THE LISTED! Huyu nadhani ni Mlinzi wa Wanyama Pori-TANAPA; japo kumfundisha kama aonekanavyo kwenye picha ni JARIBU!