Wanaume bana, wanapeeenda kuchungulia

Child labor, a photo from Maharashtra, West | TrekEarth


 
hii dunia haina haki kabisa mungu umejificha wapi baba?malaika wako wanateketea huku?tukisema kikwete na ccm yake ni mbaya wapo watu hutokwa na mishipa ya shingo.dunia inaelekea kuwa mbaya kuizidi jehanam.
 
Ubinafsi unatumaliza. Twayaona haya na tunafumba macho.

Lkn kwenye hizo picha si wote wanafanyishwa kwa ujira, yapo mazingira mtoto inapaswa ashirikishwe ili asiwe na tabia kama za zomba na MAFILILI ukubwani (za kutegemea kuishi kwa ASANTE NAPE)
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…