Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 611
:target::target::target::target::target:
.
acha matusi kijana
.
acha matusi kijana
Kwahiyo wanaume waliooa ni wasafi, au wake zao ndio wasafi?
Sema wanaume wengi, au baadhi ambao hawajaoa ni wachafu, ila sio wote. Kama wewe umeona na ulikua mchafu enzi zako, basi sio kila mtu ni mchafu.
AlishajibuWanaume mliofikia umri wa kuoa, oeni bwana muwe wasafi...
NB; Sio wanaume wote ambao hawajaoa ni wachafu...