Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,126
- 71,720
Ndio ,,yaaan huyo jamaaaa ulimuonea sanaaaYap kumbe jaman poleni sana
Ndio ,,yaaan huyo jamaaaa ulimuonea sanaaaYap kumbe jaman poleni sana
Habari wana Jf
Kwanza nianze kwa kucheka
Hivi hii tabia ya wanaume kusingizia kuumia misuli na kushindwa kulala pale inapotekea nyoka amesimama ili tu apatiwe tendo la ndoa na mwanamke ikiwa mwanamke hayuko tayari mnaitoaga wapi ?
Kama kuna mwanaume hajawahi kudanganaya hivi aseme hapa nione.
Kwa sababu mnajua sisi wanawake ni mama huruma ndo maana mnapenda kuongea hivyo na ninasema uongo wenu mwisho Leo.
Yani Leo nimeenda kwa rafiki yangu aliniomba nikamuandikie Business plan nashangaa wake amesimama hatuna hata mahusiano alafu tunaheshimiana anaanza kuniambia oooh naomba unisaidie Nina siku nyingi hivyo nitaumia misuli sjui na kwa sababu ndo uongo wanaopenda kutumia wanaume nimemuacha nimesepa zangu bila hata kumaliza kazi tuliyopanga nione kesho kama atakufa au ?
Wanaume hivi kwanini sio wakweli kwenye suala LA kupata penzi mtaacha lini kutumia hili neno na mkae mkijua huwa tunawapotezea tu ndo maaana tunawaomba sana pesaa ili kuwakomesha.
Doppler effect
Poooh nilikuwa mweziniSasa ulipoona joka lake linataka kula, na akakuomba umsaidie, kachoka kulishikilia ili liingie shimoni kwako kula, umeshindwaje kumtoza faini kubwa ya papo kwa papo ili uliruhusu likale?
Tatizo ni la kweli, kwamba joka lake likiwa na njaa, halichagui shimo la kuingia kusaka mlo.
Iweje leo uje hapa kidhalilishaji namna hii kutafuta huruma ya umma, wakati uwezo wa kutoa kibali kwa njia ya faini kubwa ulikuwa nao?
Au alisema hawezi kukulipa pindi joka lake ukilirusu liingie lile na kushiba?
Kweli hii kitu inawasaidia kuopoa vimwali
Kweli hii kitu inawasaidia kuopoa vimwali
Mm mwenyewe nishakamatika kwa msela mmoja sitasahau alikuwa Analia mpaka machoz nikasema nitapata laana bure
Hahahaha ukampa papuchi safi sanaMm mwenyewe nishakamatika kwa msela mmoja sitasahau alikuwa Analia mpaka machoz nikasema nitapata laana bure
Dah! Ilitakiwa umlambishe appointment zenye kuleta matumaini. Siku mbili haziozeshi tembo, angeridhika joka lake akalilaza njaa. Kwani ulishindwa kumhamasisha akakielewa?Poooh nilikuwa mwezini