Mkonga100
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 661
- 492
Huyu mleta mada anataka kuwatoa watu nyongo tu hapa, hamna lolote la ukweli kwenye hii thread yake hata ukisoma replies zake utaona ameandika vitu vingi sana imaginable kwa madada wa kibongo tunavyowafahamu.Hivi wanawake gani hawa wanaowapa pesa wanaume hahaha.
Hawa hawa ninaowajua. Sijawahi kuona mwanamke asieumwa na pesa yake. hata akikuambia kuna shida hii na anapesa yake ukamwambia lipa nipo busy nitakurefund ataanza kujiuliza uliza.
Huwezi sababu you are manipulated man, victim of outdated patriarchal system of life.Kwanza huo ujasiri tu wa kuingia kumlala mwanamke lodge kalipia yeye sijui unatokea wapi aiseee, au mwanamke una kwako eti nije tudinyiane hapo kwako nooooooooh!
Uzoefu unaonesha wanawake wenye wanaume marioo Mungu kawapa hela tu, vingine msiniulize.Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Umechanganya lugha hata sijakuelewa hicho sijui kigiriki sijui kiinglish na mimi wapi na wapiHuwezi sababu you are manipulated man, victim of outdated patriarchal system of life.
Outdated patriarchal system ni mfumo wa maisha ambao umeegemea sana kwa mwanaume kwenye suala la majukumu, yaani ni aina fulani ya maisha ambayo mwanaume ndio anabebeshwa majukumu mengi sana hata yale ambayo yanaweza kufanywa na mwanamke. Ni mfumo wa maisha ambao kwa dunia ya leo umeshapitwa na wakati, ila kwa bahati mbaya sana huku afrika bado tunaukumbatia na wanaume wengi sana ukiwemo wewe bado umewakaa akilini. Na kwa hiyo comment yako tu wewe ni victim au muathirika wa mfumo huu.Umechanganya lugha hata sijakuelewa hicho sijui kigiriki sijui kiinglish na mimi wapi na wapi
% kubwa ya waafrika huo mfumo kututoka itachukua muda sanaOutdated patriarchal system ni mfumo wa maisha ambao umeegemea sana kwa mwanaume kwenye suala la majukumu, yaani ni aina fulani ya maisha ambayo mwanaume ndio anabebeshwa majukumu mengi sana hata yale ambayo yanaweza kufanywa na mwanamke. Ni mfumo wa maisha ambao kwa dunia ya leo umeshapitwa na wakati, ila kwa bahati mbaya sana huku afrika bado tunaukumbatia na wanaume wengi sana ukiwemo wewe bado umewakaa akilini. Na kwa hiyo comment yako tu wewe ni victim au muathirika wa mfumo huu.
% kubwa ya waafrika huo mfumo kututoka itachukua muda sana
na hapo ndipo wanawake wanapochukulia advantage na kuwa wabinafsi sababu tuko manipulated kwenye mfumo huu.. Siku hizi ni kawaida sana kukuta ndani ya ndoa mwanamke anamzidi mume mshaara/kipato lakini hela ya kufanyia maendeleo ya familia yote inatoka kwa mume, ya mwanamke haiguswi kabisa halafu na mume yupo okay tu hili eti anatekeleza majukumu yake.. hahahaha! halafu sasa siku ndoa ikivunjika kwa taratibu za kisheria mnagawana mali 50/50. (mali ambazo zimetafutwa kwa hela ya mume). damn!! we need to wake up% kubwa ya waafrika huo mfumo kututoka itachukua muda sana
Huhuuu espy huyooIla nilikuona juzi pale ulijitahidi kugharamia ka lunch...haha
Na ukawa unajisifu eti nikipendwa napendeka.
NakaziaaNdo sababu, marioo wengi ni watoto ambao wamekuwa wakiona mama ndo anafanya kila kitu...mtoto hajui hata jukumu lake kama mwanaume sababu nyumba haina mwanaume...halafu mnaleaga watoto wanakuwa wasafiiiiii siku hizi na kiduku kwa mbali mnawanyoa.......kama unamtoto wa kiume unamlea hivo ujue huyo ndo marioo wa baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mie kilaza sikatai
Ila mwanaume mwenzio mwenye vichwa 2 kama wewe amekuwa akiniomba hela kila leo
Alafu cha ajabu ana kazi na mshahara
Jamen badilikeni
Mengi asingemwoa klyn kama angekuwa anamwomba visenti kila leo