Senorita23
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 390
- 489
Aah pole inachukua majukumu ya mwanaume mkishaachana tuletee mrejesho hapaHi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Ngoja na mimi nije nikupige mizinga nione kama utanianzishia Uzi. Hodi PmWananifata wenyewe
Sijawahi tongoza mwanaume
Ila ndo ivo ni mariooo
Hadi kero
Wanakufanya hvo kwasababu ww ndo ulivo ukitaka upate mwanamme mzur ww ndo unahitaj kubadilika hata kama ulilelewa kujitaftia ndio na una hela hebu acha kuwa mwanamme unatakiwa mwanamme umwombe matumizi kama saloon shopping n.k sasa ww wanakuomba hela kwa sababu ya life stail yako ya kujihidumia kila kitu sa mtu hujawah kuhitaj hela ya matumiz s lazima hata yy atakuomba tu inshort dada yangu acha kuwa mwanamme badilikaHow?kwani naishi maisha ya kawaida sana
Sina hata mashauzi haya ya wadada wa mujini
Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Fursa hii ngoja niwahiWananifata wenyewe
Sijawahi tongoza mwanaume
Ila ndo ivo ni mariooo
Hadi kero
No sichukui majukumu ya yeyote,ila siombi ombi hivyo,nikiomba ni kweli inakuwa ishu seriousWanakufanya hvo kwasababu ww ndo ulivo ukitaka upate mwanamme mzur ww ndo unahitaj kubadilika hata kama ulilelewa kujitaftia ndio na una hela hebu acha kuwa mwanamme unatakiwa mwanamme umwombe matumizi kama saloon shopping n.k sasa ww wanakuomba hela kwa sababu ya life stail yako ya kujihidumia kila kitu sa mtu hujawah kuhitaj hela ya matumiz s lazima hata yy atakuomba tu inshort dada yangu acha kuwa mwanamme badilika
Hahaha haya banapoint taken...ni kweli mwanamke akishakuwa na mihela full nyodo sasa dawa ni moja tuu...positions zote za juu no mwanamke.
their place will always be in the kitchen. hapo dunia itaenda
Sijawah watongoza,naapaUnakutana wap na hizo type jaman? Yani mm kabla cjaolewa enzi za kudate ilikuwa mwanaume nnae date nae hata akinibip tu naanza kuwa na mashaka aisee, au kuwa na mwanaume anaependa kutuma msg kupiga cmu mara moja moja aisee naanza kupata mashaka, eti ndo uniombe hela block itakuhusu saa hiyo hiyo, huwa nikisikia wadada wanasema wanaombwa hela na wanaume nabaki kushangaa, how? Anaanzaje? Amekuonaje? Au ww ndo umemtongoza?
Poa mate unaweza toa majina yao tu hahaha, ukute jeraha la Mbasha kwa Fulo limepoa ila akipitia hapa unakutana na Ndongo tena mh hapo inakuwa ngum kumeza.Hahaha sorry
Nisamehe nimeteleza my
Ilikuwa katika kusisitiza tu
Kwanza pole kwa kukutana na "MARIO" ,pili ukome kuwajumuisha wanaume wote kuwa wanatabia hizo..Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Yes . Ungempiga kisomo yeye. Usipende ku include wanaume wote wkt alie kuzingua ni mmoja.Ok
But trust me sijawahi watongoza hata mmoja,and I live a very normal life
Wa mwisho nilimwambia please don't ask me for money,coz alikuwa daily ananililia shida,akasema nimemdahlilisha
Me nimelelewa to find for my self,siombiombi hovyo
May be nianze kuwapiga mizinga kabla hahahah
Hahaha haya bana
Ila punguzeni kuombaomba
That's y wengine mnageuzwa
Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon