kwani lazima utaje ndoa..si uwe mkweli tu kwamba mimi bana ninataka tuduu nina hamu nisaidie! mtu aamue mwenyewe maybe na yeye anatakaje? alikuwa tu anaogopa kusema? ...mnaboaje...kuweni straihht kama The Boss..loh!
muache kabisa.....tena wengine wamo humu....nawajua.....
weeeee wanawake wa siku hizi waooongoo wanadanganya hadi salamu.