Helo wana jf, mm n mgeni humu ila nataka kufikisha tu kinachonikera kwa wanaume,
Unakuta Mwanaume huna nia a dhati kwa mdada fulani ila unamfuata na kudai kuwa unampenda na pia unahitaj awe mkewe siku za mbeleni na huku ukijua wazi unayoongea ni uongo ila tu unataka kumchezea tu mdada wa watu na kumuacha solemba. Jamani wadada mara nyingi huwa ni waaminifu kwny relationships lakini Wanaume ndio mnawaangusha kwa kuwaharibia hisia zao. utakuta Mdada akili yote iko kwako lakini unaamua kumtosa na kumuacha ateseke, sio vizuri wanaume acheni hii tabia!
Nawailisha..........
Unakuta Mwanaume huna nia a dhati kwa mdada fulani ila unamfuata na kudai kuwa unampenda na pia unahitaj awe mkewe siku za mbeleni na huku ukijua wazi unayoongea ni uongo ila tu unataka kumchezea tu mdada wa watu na kumuacha solemba. Jamani wadada mara nyingi huwa ni waaminifu kwny relationships lakini Wanaume ndio mnawaangusha kwa kuwaharibia hisia zao. utakuta Mdada akili yote iko kwako lakini unaamua kumtosa na kumuacha ateseke, sio vizuri wanaume acheni hii tabia!
Nawailisha..........