Wanaume 10 wapotea Morogoro

Unahitaji nn sasa tuje tukushikie miguu?? Hayo ni mambo yako binafsi mkuu muhimu ibilisi kapita hilo ndio kubwa
Wewe naye utapata kichaa cha mbwa bure kwanini usiangalie movie hata igizo la Kaole!
 
Kuna mambo manne hupaswi kufanya awamu hii, Ujambazi, Madawa ya kulevya, ujangiri na rushwa, ila kuna watu hawaamini bado
RUSHWA !watu mbona wanaendelea kuzipiga tu tena kwa kasi kuu.hata akija CAG hakuna hofu.
 
Ushauri wangu: Jifunze kutukana uwe na kitu cha kukubeba pale akili inapochemka.
Mkuu, kuna sehemu (shule/chuo) wanafundisha matusi?

Nachojua, ukiwa nyumbu, matusi yanakuja automatiki, hujali umri wa mtu, heshima yake kwenye jamii, aibu kwa jamii inakuonaje kwa hayo matusi unayotoa n.k.

Hakuna namna, cha msingi subiri ukomavu katika tasnia ya matusi, kwani ndiyo njia waliyoamua.
 
watakuwa wameliwa na simbaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…