Wanauchumi wote piteni hapa

Kwanza lazima mjue kazi ya fedha ni kufinance projects mbalimbali mbali. Under the acceptable inflation that we have i.e around 4.5 percent kuprint pesa unastimulate uchumi na unaongeza effective demand i.e AD whic is ivestment plus savings. Under the aradox theories jpm yukosahihi kabisa.

Kosa lililofanywa zimbabwe ni kuprint pesa bila ongezeko lolote la sectors za uchumi na walikuwa wameshafika kwenye hyper inflation i.e double digit.

Kumbuka kwamba ili uprint pesa lazima uangalie velocity of money and level of transaction yaani ziongozeke ambapo tanzania kuna stiglers gorge na miradi kibao ambapo kasi au v inaongezeka.

Ukiprint pesa bila kuangalia v and T unasababisha value ya pesa kushuka in the same proportion ya printing i.e 20% ms increase will also decrease th value by 20%.
This is explained by quantity theory of money by prof Ilving Fisher.

Jpm is on the right track machadema hamjui kitu chochote zaidi ya siasa za maji taka. Ndani ya lichama lema mnsmtegemea lisu tu wengine ni form four failures.
 
Huwezi kuprint print tu ela utasababiha zishuke thamani, ingekuwa hivyo tusingekuwa tunakopa tungekuwa tuna jiprintia tu.
Lakini effect ya kuprint ela ovyo unaweza kukuta unanunua mkate ambao leo ni 1000 unakuja ununua 50000.



Asanteni kwa kuelewa swali great thinkers, sasa nimeelewa.
 
ndio mkuu. Sina ufahamu sana na hzo effects kiuchumi pamoja na kua mimi ni mfanyabiashara. Na nilijaribu kuelezea zaidi kutokana na printers tu
 
KWANI KUNA MPANGO WA KU PRINT NOTI MPYA?
 
huwezi eleza bila kuweka siasa uchwara?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…