Wanatulazimisha kuendelea kumkumbuka Hayati Magufuli

Ndio maana tulitaka wale walioshangilia wasikamatwe ili tupime na wasiomkubali.
Asilimia kubwa hao wasiomkubali wapo mitandaoni ndio wakina nyie ambao hata kuandamana hamuwezi kwa sababu mpo mitandaoni, kwahiyo nyie huwa ni watu kutafuta visababu tu hapo utasema watu walizuiliwa kushangilia ndio maana hamkuonekana wengi na msipotokeaga kwenye maandamano pia mnasema ni kwa sababu polisi walizuia.

Kikubwa hapa ni kwamba mlikuwa mnasema humu kuwa Magufuli hapendwi sijui kaumiza sana watu kiasi hadi tukadhani msiba wake hautokuwa na watu wengi kwa sababu watu hawampendi ila kilichotokea ni tofauti kabisa.
 
Hayo ndio matamanio yako, ila kwa bahati mbaya hiki ni kizazi kingine.
Sema kilichobadilika ni kipi na sio kuishia kusema hiki ni kizazi kingine wakati watu hurithishana kizazi kwa kizazi, sasa hiki kizazi cha kuomba connection ndio kina kipi jipya?
 
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.

Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.

1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.

2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.


Matokeo yake.

1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.

Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.

Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Sio kweli kuwa wananchi wote tuna majonzi ya kifo cha dikteta Magufuli, tupo mamilioni tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea kichaa yule katili. Samia naye kaja na uovu wake nasi tutazidi kumulilia Mungu aingilie kati
 
Kama ni kweli hata na wewe walikukosa tu, watu km nyie mnaokwamisha maendeleo ya nchi niwakupoteza tu…watu wako serious na kazi nyie mnatoa mapovu kuwaua nguvu wasiendelee kupambania nchi..kufa utakufa tu km kwa malaria au mtutu kifo ni kifo hakuna kuwahi wala kuchelewa hata swala anakufa kila siku Mikumi…

Uliza ujerumani na China ilikufika pale wangapi walipotea…
Kwahiyo mnaonaa sifa kuua,hiyo laana ita waandama na familia zenu
 
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.

Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.

1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.

2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.


Matokeo yake.

1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.

Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.

Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Umechekesha sana...
 
Sema kilichobadilika ni kipi na sio kuishia kusema hiki ni kizazi kingine wakati watu hurithishana kizazi kwa kizazi, sasa hiki kizazi cha kuomba connection ndio kina kipi jipya?

Hiki sio kizazi cha kuchaguliwa mke bro, kizazi hiki mtu anachagua mke mwenyewe na sio kutafutiwa na wazazi.

Asilimia kubwa hao wasiomkubali wapo mitandaoni ndio wakina nyie ambao hata kuandamana hamuwezi kwa sababu mpo mitandaoni, kwahiyo nyie huwa ni watu kutafuta visababu tu hapo utasema watu walizuiliwa kushangilia ndio maana hamkuonekana wengi na msipotokeaga kwenye maandamano pia mnasema ni kwa sababu polisi walizuia.

Kikubwa hapa ni kwamba mlikuwa mnasema humu kuwa Magufuli hapendwi sijui kaumiza sana watu kiasi hadi tukadhani msiba wake hautokuwa na watu wengi kwa sababu watu hawampendi ila kilichotokea ni tofauti kabisa.

Sasa hivi kuna kukatika kwa umeme kwa hali ya juu, na platform yenye nguvu ya kuhoji huo uhuni ni huku mitandaoni. Je huko kwingine watu hawaonekani kulalamikia hilo wala kuandamana ni kwakuwa wanaridhika, ila waliopo mitandaoni tu ndio wanaolalamika? Kwahiyo kwako maandamano ndio njie pekee kuonyesha kuwa watu hawaridhiki?

Nguvu iliyotumika kuonyesha kuwa anakubalika ilikuwa bayana, huku nguvu kubwa ikitumika kuzima sauti zote za kuonyesha hisia za waliokuwa hawamkubali. Hao waliokuwa hawamkubali walikuwa mitandaoni tu, je hao waliokuwa wanakamatwa na polisi nao walikuwa huku huku mitandaoni?
 
Watu wa Kanda ya ziwa Wana umuhimu gani? Acheni kujikweza. Wamuelewe ama wasimuelewe jiwe kishaenda jehanamu acha apambane na hali yake.

Samia hapendwi lkn jiwe hapendwi zaidi
asipo pendwa jiwe ata pendwa nini kenge wewe
 
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.

Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.

1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.

2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.


Matokeo yake.

1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.

Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.

Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Nani anakulazimisha kumkumbuka wewe mtu mzima haulazimishwi,.ukiona uzi wake pita kama huuoni basi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Achana na mambo ya kuambiwa kumkumbuka binadamu, mkumbuke Mungu wako inatosha hayo mengine utashikishwa hadi uchawi
Yesu mwenyewe iliakumbukwe aliamua kuwa binadamu kwanza.. Magufuli kazi yake Kwa hili taifa haiwezi kufunikwa Kwa vyovyote vile yani na mapungufu yake lakini jamaa alitisha sana
 
Yesu mwenyewe iliakumbukwe aliamua kuwa binadamu kwanza.. Magufuli kazi yake Kwa hili taifa haiwezi kufunikwa Kwa vyovyote vile yani na mapungufu yake lakini jamaa alitisha sana
Kabisa kabisa.
 
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.

Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.

1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.

2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.


Matokeo yake.

1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.

Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.

Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.

Kukosekana kwa umeme na kukosekana kwa maji ndiyo chanzo cha kuendelea kumkumbuka Hayati Magufuli bila kulazimishwa.​

 
Back
Top Bottom