"Wanatoa maziwa na mayai, wanastahili kuwa jikoni" maneno ya Mdau

"Wanatoa maziwa na mayai, wanastahili kuwa jikoni" maneno ya Mdau

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
3,621
Reaction score
6,511
Kuna haya maneno nimesikia kutoka kwa mdau mmoja akisema "Hawa wanatoa maziwa na mayai, wanapaswa kukaa jikoni ndiyo sehemu yao, huku kwingine tunalazimisha tu"

Ni kauli ya kufikirisha sana. Inawezekana ni kauli ambayo imepitwa na wakati au inawezekana ina ukweli fulani tunaoukataa.

Tujadili. Comments ziwe fupi fupi.
 
Kifasihi, "jikoni" = kwenye uongozi wa juu
= Kwenye ulaji/vyeo vikubwa, ni

Kama ni lihater la Samia hilo, Basi limechemka......likajipange tena!!
 
Back
Top Bottom