Wanathamini Saikolojia kwa sababu, Kila kitu kinaanzia kichwani.
Nakumbuka wakati niko chuo mwaka wa mwisho nliisoma Psychology in Human Behaviour kama somo la ziada, aiseee imenisaidia sana kuishi na watu na kufanya majukumu yangu ya kazi vizuri (nature ya kazi yangu nakutana na watu wengi wenye tabia tofauti)..
Na sisi kama taifa tunapaswa kuchukulia suala la Saikolojia kama kipaumbele, sababu hii nchi watu wengi wana matatiko ya afya akili bila kujua..
Sent from my CPH2363 using
JamiiForums mobile app