- Thread starter
- #21
Its simple awahusishe TAKUKURU ndo maeneo yao ya kujidai
kama ingekuwa ni rushwa ya hela wangewaza kumpa hela za moto.... saa hii ya ngo watampa nini......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its simple awahusishe TAKUKURU ndo maeneo yao ya kujidai
bush baby pengine na yeye aliwaingiaje unajua kuna system mabinti zetu wanaomba kitu huku wanalegeza macho pengine niulize na ni kakudanganya watu wazima awatamani,awazini,..pili umesema huyu mtoto wa kike ulitaka wapende wanaume..kaa vizuri na mdogo wako nionacho hapa asionyeshe anaharaka sana ya hiyo field..watamsumbua sana sana..,...,
kingine amwombe mungu ampe favour..kibali cha kupenya unajua kuna vyeti avikupi kazi bali kibali cha mungu mwambie aombe kibali cha mungu kupita popote pale atapata sehemu nzuri tu..mi nina ushahdi ninayokwambia nilikuwa natuma vyeti vyangu kila sehemu vizuri muno muno wasemavyo wachaga lakini niliishiwa kuambiwa ahsante tumehifadhi tutakujulisha tena..nilipomjua mungu nikapata hili somo la favour..nakwambia akuna atakaekuzuia..unajua anyway nikupe kasomo kila mtu amepewa nyota yake ..so unakuta kuna watu wamekaa kufunika nyota za watu so unaweza kuwa na vyeti vizuri vya kupata field lakini unakuta wakiwa wanachagua yako inafunikwa na mapepo inaweza hata kurushwa pembeni..wanachukuliwa wasioambatana hata na field wanayoomba basi tu..so aombe kibali aombe toba kwa mungu alieofanya kwa kukusudia ama kutokusudia ..utakuja haapa kumtukuza mungu
Mwambie atoe kitu apate kitu! Now ni mwendo wa ubepari! Kama huna kitu hupati kitu! Akubaliane nao tu ili aweze kuachieve her dreams
.....Mshauri atoe taarifa TAKUKURU, kinachofanyika kwa uelewa wangu ni kwamba TAKUKURU wanaandaa mtego baada ya makubaliano ya wahusika. Mtoa taarifa akishakubaliana na huyo mtu wake wapi wanakutana kama ni Gesti au popote, anawatonya TAKUKURU kwa siri, wanakuja wanamdaka. Rushwa ya Ngono ni kosa kinyume na sheriakama ingekuwa ni rushwa ya hela wangewaza kumpa hela za moto.... saa hii ya ngo watampa nini......
kumbuka mkono mtupu haulambwi apige moyo konde kumbuka ile research iliyosema 40 percent ya wanawake wamepata kazi kwa rushwa ya ngono! Ndio nchi yetu ka vp aprovide tu kwani nini? Angekuwa bikra sawa ila ka ashatumika, atumie vipawa alivyojaliwa tena anaweza akapata na kazi kabisa
Mimi ni Mwanamke na nimesha pitia vipindi kama hivyo mara kadhaa. Muhimu ni kua wazi tu: ajibu kwamba anatafuta kwenda field, sio boyfriend ao mtu wa kulala nae. Jibu langu ni hili: Tuongee kwanza vya field sababu ndivyo vilinileta. Sina tabia ya kudevelop relation zingine hasa na watu nisio wajua. nikisha pata hiyo field attachment ndio nitaweza kuongea vingine. then akisha pata anamwambia tu: sorry, I am not interested. it sounds too easy to work but I can tell you, it does!
Habari wana Jf....
Naombeni msaada wenu, mdogo wangu wa kike anamalizia Diploma ya Business Administration anatakiwa kwenda field na amezunguka kweli kutafuta hiyo field but kila ofisi anayokwenda anaambiwa "nikikupatia nafasi ya field wewe utanipa nini.... na wanaouliza hivyo ni watu wazima....., na huyu ni mtoto wa kike wanachotaka hapo ni nini??.. mdogo wangu amekata tamaa kabisa ya kuendelea kutafuta field kwani sehemu kama nne hivi tena nyingine za serikali... majibu ni hayo hayo....
Yupo Arusha na angependelea kupata field Arusha... naombe msaada wenu
Asanteni sana
Mwambie atoe kitu apate kitu! Now ni mwendo wa ubepari! Kama huna kitu hupati kitu! Akubaliane nao tu ili aweze kuachieve her dreams
kumbuka mkono mtupu haulambwi apige moyo konde kumbuka ile research iliyosema 40 percent ya wanawake wamepata kazi kwa rushwa ya ngono! Ndio nchi yetu ka vp aprovide tu kwani nini? Angekuwa bikra sawa ila ka ashatumika, atumie vipawa alivyojaliwa tena anaweza akapata na kazi kabisa