iphone 18 promax
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,142
Siku ya leo nmealikwa kwenda kutatua ugomvi wa watu wapendanao sasa kwa kweli naona kama vile shida tu jamaa rafiki yangu anamwanamke ambaye ndio mke mtarajiwa amejifungua mtoto wa kike cha kushangaza hajashirikishwa kuita jina la mtoto kashaangaa anapigiwa na shemeji yake kuwa mtoto tumemuita fulani sasa jamaa anajiuliza mbona mimi sijashirikishwa na mimba tumelea mwanzo mwisho jana kampigia mwanamke na kumwambia tuachane na wakati huo wiki ijao tunaenda kutoa poza kaniambia rafiki yangu nikamwambia apotezee tu jamaa hataki hivi utaratibu wa kuita jina ukoje kwa mtoto.