Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
wachezaji wa kibongo wanahitaji semina elekezi ili wafike kama wengine.....
hawana nidhamu ya mchezo
hawana nidhamu binafsi
mdfano angalia kwenye hii tube..dakika 7.26...mchezaji huyu namba 5 mgongoni anabutua mpira kwa mashabiki pasipo na sababu yoyote na hapo hapo wamefungwa ilimpasa achukue mpira haraka haraka akimbize kati waanze ili watafute goal...
ni tofauti na wenzentu...angalia dakika 6.31 mpaka 6.33 wakati wamepata goal la kwanza mchezaji wao aliukimbilia mpira haraka ili waanze kati ili wafikishe malengo yao ya magoli mengi...
ni jambo la busara sana wachezaji wetu wawe na desiplini kwenye mchezo.....ndio watafika mbali...hawa simba wna game na waarabu tena..wazee wa fitina lazima wawe so disiplined kwenye mchezo la sivyo watapigwa red card wengi....
vile vile nimeangalia hii kadi ya nyoso ni fitina la waarabu maana hakumpiga ila alimsukuma ki kawaida ila jamaa akashika macho kama kwamba kapigwa kipepsi...angalia dak 6.42
Last edited by a moderator: