Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,239
- 22,674
Wanasimba wenzangu
Nikiwa kama shabiki wa simba kindaki ndaki naumia sana kuona viongozi wetu wakitupiga namna hii..
Haiwezekani watuletee teka bovu kama huyu Fred..!
Hivi si hata pale mtibwa hapati namba huyu?
Mtu mzito kakamaa kama bao la kwanza kitandani jamani hamuoni?
Sasa huyu teka ndio atatupeleka final kweli? Mbona kina mangungu wanazidi kutuonyesha namna walivyo matapeli?
Yaani jana nimelia sana baada ya mechi kwa kweli .
Licha ya huyo kuna yule sarr
Hivi mnatoa wachezaji wavunja kuni nyie viongozi? Tunaoumia ni sisi mashabiki mjue mtu anakimbia anatazama tu chini kama kobe kweli?
Sisi wanasimba ni mbumbumbu toleo la mwisho kabisa ..
Nikiwa kama shabiki wa simba kindaki ndaki naumia sana kuona viongozi wetu wakitupiga namna hii..
Haiwezekani watuletee teka bovu kama huyu Fred..!
Hivi si hata pale mtibwa hapati namba huyu?
Mtu mzito kakamaa kama bao la kwanza kitandani jamani hamuoni?
Sasa huyu teka ndio atatupeleka final kweli? Mbona kina mangungu wanazidi kutuonyesha namna walivyo matapeli?
Yaani jana nimelia sana baada ya mechi kwa kweli .
Licha ya huyo kuna yule sarr
Hivi mnatoa wachezaji wavunja kuni nyie viongozi? Tunaoumia ni sisi mashabiki mjue mtu anakimbia anatazama tu chini kama kobe kweli?
Sisi wanasimba ni mbumbumbu toleo la mwisho kabisa ..