Wanasimba popote mlipo kuweni macho

Nenda kwenye majukwaa mengine ukaone michango yangu ilivyo ya maana.
Usidharau michezo hata huko first world wanajadili michezo na wametuzidi kwa michezo yote na maendeleleo ya sayansi, tech, uchumi na Elimu.
Kuwa na kiasi
Jadili michezo lakini usizidi
Huo ni uzuzu kujadili mamipira kila wakati
 
LoL!
Na kingine nimesikia eti Mwigulu nae anaenda kuangalia mechi ya awali huko Morocco wakati Mwigulu kutwa kucha kushirikiana na Yanga kupitia Singida Big Star kuihujumu Simba.
 
Kuwa na kiasi
Wenzenu wanajadili mpira kisayansi, kama biashara
Nyie Watanganyika mnajadili kurogwa, mara kufukia mbuzi
Mpo timamu kweli?
 
Kuwa na kiasi
Jadili michezo lakini usizidi
Huo ni uzuzu kujadili mamipira kila wakati
Ungekua na kiasi Cha kujadili masuala ya michezo wala mada yangu hii usingeiona,maana muda wote ungekua kwenye majukwaa mengine ya maendeleo.
Lakini kutwa kucha umo humu unafatilia Kila kilichoandikwa.
Sema TU mada yenyewe imekutia hofu.
 
Ungekua na kiasi Cha kujadili masuala ya michezo wala mada yangu hii usingeiona,maana muda wote ungekua kwenye majukwaa mengine ya maendeleo.
Lakini kutwa kucha umo humu unafatilia Kila kilichoandikwa.
Sema TU mada yenyewe imekutia hofu.
Niko hapa kujadili sayansi ya michezo sio ujinga wako wa majungu na ushirikina.
 
No Reform no truphy
 
Hao wameanza kupokea wageni toka kitambo
 
Simba na Yanga hata wachukue kombe la Dunia, Watanzania wenzetu hawana madawati, hawana madawa, hawana maji n.k itafaa nini?
Tuwe na kiasi kujadili haya mamipira
Jukwaa la michezo lazima lijadili michezo boss.

Kila jambo na mahali pake kwa muda wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…