Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
Wanasimba niwaibie tu Siri licha ya Mo kutapa kuwa anataka ubingwa wa Africa ili jamaa ni bahili balaa.
Misimu uliopita alileta ubahili akaleta wachezaji wa bei chee tukachemka, msimu huu yatajirudia yaleyale, ukiwatizama viongozi wetu unawaona kama wapo serious vile kumbe hawana lolote.
Kwa dunia ya sasa hakuna mchezaji mzuri utampata kwa Siri. Ukiwauliza wanadai usajili wanafanya kwa usiri mkubwa.
Tunamuofia nani mpaka tuwe wasiri kwenye usajili? Mo kama kweli unataka Simba avuke robo fainali weka mzigo wa maana kwenye usajili leta kocha bora, acha janja janja.
Misimu uliopita alileta ubahili akaleta wachezaji wa bei chee tukachemka, msimu huu yatajirudia yaleyale, ukiwatizama viongozi wetu unawaona kama wapo serious vile kumbe hawana lolote.
Kwa dunia ya sasa hakuna mchezaji mzuri utampata kwa Siri. Ukiwauliza wanadai usajili wanafanya kwa usiri mkubwa.
Tunamuofia nani mpaka tuwe wasiri kwenye usajili? Mo kama kweli unataka Simba avuke robo fainali weka mzigo wa maana kwenye usajili leta kocha bora, acha janja janja.