Nitatiki madaftari na Mtihani ya wanafunzi wangu ingawa penye makosa sitatiki!Wanasiasa wengi kutoka Tanzania wapo na Ukwasi Mkubwa Ambao , hauelezeki .
Ila wamechagua njia ya Ku-play low key .
Hizo Lamborghini na Bugatti mnazoziona ni punje tu ya ukwasi wao.
Hakikisha October Una-tiki√
Ukwasi wao ni wakuiba sio biashara ndio maana uoni viable establishments kutoka kwenye pesa hiyo.Wanasiasa wengi kutoka Tanzania wapo na Ukwasi Mkubwa Ambao , hauelezeki .
Ila wamechagua njia ya Ku-play low key .
Hizo Lamborghini na Bugatti mnazoziona ni punje tu ya ukwasi wao.
Hakikisha October Una-tiki√
MTU anyedunduliza kupata profit na anayemega mabilioni kadhaa. Wanaweza kuwa na ukwasi sawa.!?Bharesa ufanishe na wanasiasa
Top politicians wa sasa kama J.K wanaweza kuwa wana ukwasi ambao hutafika 5th generation.siyo kweli, na hapo ndipo iq na mila mila vinapoingia, wengi (wanasiasa weusi) wanatumika kuwatajirisha arabs, indians/pakis, chinese au persians lkn wao hawana utajiri ambao wanawezeshea hao foreigners, kwa kifupi wanatumika tu na wanaweza kuhongwa vitu kama gari mpya tu labda lkn wakatransfer ktk serikali billions kwenda iran.
na ndiyo maana hawajengi generational wealth i.e utajiri wa kurithisha vizazi vyaki vijavyo, wengi wana multiple women watoto kila mahali no plans hivyo wakifa kila kitu kinaishia hapo kaburini kwake …
Top politicians wa sasa kama J.K wanaweza kuwa wana ukwasi ambao hutafika 5th generation.
labda fananisha na moo dewji!Bharesa ufanishe na wanasiasa
Wanasiasa wengi kutoka Tanzania wapo na Ukwasi Mkubwa Ambao , hauelezeki .
Ila wamechagua njia ya Ku-play low key .
Hizo Lamborghini na Bugatti mnazoziona ni punje tu ya ukwasi wao.
Hakikisha October Una-tiki√
Hii picha inaonyesha jinsi wanamtandao wanavyotufanya Watanganyika
Wanasiasa hawana hela,sawa sawa na watoza kodi tu,anaachia mzigo wa mamilioni anapewa milioni.Angalia hata 10% wanazopewa kulinganisha na hasara wazofanya kwa taifa.Kama ni hivo juma kaseja angerizikaMTU anyedunduliza kupata profit na anayemega mabilioni kadhaa. Wanaweza kuwa na ukwasi sawa.!?
Pesa nyingi hazipataikani kwa kufanya biashara. Nakubaliana na wewe.Wanasiasa wengi kutoka Tanzania wapo na Ukwasi Mkubwa Ambao , hauelezeki .
Ila wamechagua njia ya Ku-play low key .
Hizo Lamborghini na Bugatti mnazoziona ni punje tu ya ukwasi wao.
Hakikisha October Una-tiki√