makonda ameongea vyema Kama hutakiYani vitu vingine hutia kinyaa, unakuta mtu mzima na midevu yake anaongea vitu visivyokua na msingi kisa kumridhisha flaniView attachment 1254336
Yani vitu vingine hutia kinyaa, unakuta mtu mzima na midevu yake anaongea vitu visivyokua na msingi kisa kumridhisha flaniView attachment 1254336
Ndio hoja mpya ya wapinzani hii au.Yani vitu vingine hutia kinyaa, unakuta mtu mzima na midevu yake anaongea vitu visivyokua na msingi kisa kumridhisha flaniView attachment 1254336
Huyu ni mtoto mpendwa na ukali wote wa jiwe ila huyu ndiye kiumbe pekee anaeweza kumwambia usinitoe u RC Dar na akasikilizwa.Huyo analinda ajira yake, usimlaumu, kumbuka mkulu alikua ameanza kumsema sema vibaya, imebidi aongeze kasi ya kuimba mapambio. Kwa alivyo vurunda Dar, kuna uwezekano angelazimishwa kumpisha Mwaniri yule wa Tabora, hivyo lazima aimbe sana na kusifia sifia.
Leo hii Bongo ni mwendo wa kushindana kwenye mapambio ya kumsifu mkulu, yaani Tz ya leo inanikumbusha Kenya ilivyokua miaka 30 iliyopita, wakati ule mapambio ya kumsifu rais Moi ndio yalikua habari ya mjini.
Yaani ilikua desturi ya sisi wanafunzi kutolewa madarasani na kusota kwenye pembezoni mwa barabara ambayo msafara wa rais utapita, akianza kujongea jongea ghafla tunaanza mapambio.
Akihutubia kwenye mkutano wowote, kuna makachero kazi yao ilikua kuchunguza nani hashangili au kupiga makofi kwa furaha, kipindi hicho ungepoteza uwaziri kisa ulionekana umenuna wakati rais anahutubia.
Huyo analinda ajira yake, usimlaumu, kumbuka mkulu alikua ameanza kumsema sema vibaya, imebidi aongeze kasi ya kuimba mapambio. Kwa alivyo vurunda Dar, kuna uwezekano angelazimishwa kumpisha Mwaniri yule wa Tabora, hivyo lazima aimbe sana na kusifia sifia.
Leo hii Bongo ni mwendo wa kushindana kwenye mapambio ya kumsifu mkulu, yaani Tz ya leo inanikumbusha Kenya ilivyokua miaka 30 iliyopita, wakati ule mapambio ya kumsifu rais Moi ndio yalikua habari ya mjini.
Yaani ilikua desturi ya sisi wanafunzi kutolewa madarasani na kusota kwenye pembezoni mwa barabara ambayo msafara wa rais utapita, akianza kujongea jongea ghafla tunaanza mapambio.
Akihutubia kwenye mkutano wowote, kuna makachero kazi yao ilikua kuchunguza nani hashangili au kupiga makofi kwa furaha, kipindi hicho ungepoteza uwaziri kisa ulionekana umenuna wakati rais anahutubia.
Huyo analinda ajira yake, usimlaumu, kumbuka mkulu alikua ameanza kumsema sema vibaya, imebidi aongeze kasi ya kuimba mapambio. Kwa alivyo vurunda Dar, kuna uwezekano angelazimishwa kumpisha Mwaniri yule wa Tabora, hivyo lazima aimbe sana na kusifia sifia.
Leo hii Bongo ni mwendo wa kushindana kwenye mapambio ya kumsifu mkulu, yaani Tz ya leo inanikumbusha Kenya ilivyokua miaka 30 iliyopita, wakati ule mapambio ya kumsifu rais Moi ndio yalikua habari ya mjini.
Yaani ilikua desturi ya sisi wanafunzi kutolewa madarasani na kusota kwenye pembezoni mwa barabara ambayo msafara wa rais utapita, akianza kujongea jongea ghafla tunaanza mapambio.
Akihutubia kwenye mkutano wowote, kuna makachero kazi yao ilikua kuchunguza nani hashangili au kupiga makofi kwa furaha, kipindi hicho ungepoteza uwaziri kisa ulionekana umenuna wakati rais anahutubia.
Duu basi Kenya ilipitia kipindi kigumu.
Poleni kwa yaliyo wasibu.
LOL mpaka kulazimishwa kumshangilia mtu kijeshi kweli wamepitia kipindi kigumu.Duu basi Kenya ilipitia kipindi kigumu.
Poleni kwa yaliyo wasibu.
LOL mpaka kulazimishwa kumshangilia mtu kijeshi kweli wamepitia kipindi kigumu.
Mbona Magu hajafika huko, Magu anasifiwa kihalali kabisa sababu kama wewe ni mfuatiliaji wa yanayoendelea nchini na ni mzoefu wa hii nchi huwezi kusita kupongeza pale panapostahili,
Uzuri Magu anasifiwa mpaka nje ya mipaka ya Tanzania, watu mpaka huko Jamaica wanajichora tattoo za Magu, huyo Moi Sidhani kama ana lolote la kulingana hata 5% ya Magu katika uchapa kazi.
Ndio hivyo siasa za Tanzania ni tofauti sana, ujue tu kipindi cha Nyerere walipiga kura za kuchagua vyama vingi au chama kimoja, wengi zaidi ya 98% walichagua mfumo wa chama kimoja ila Nyerere alikataa na kuamua mfumo wa vyama vingi uingie japo wananchi hawakuutakaMambo kama haya kwenye hii video yalitendeka kwetu enzi zile, ila kwa Tanzania ndio hali ya leo
Moi ilkua ukimsifu leo unapewa kitita cha hela na atakupenda sana hadi kukupa uwaziri..sasa wewe jichanganye kesho ubugi ndio utakiona
Huyo analinda ajira yake, usimlaumu, kumbuka mkulu alikua ameanza kumsema sema vibaya, imebidi aongeze kasi ya kuimba mapambio. Kwa alivyo vurunda Dar, kuna uwezekano angelazimishwa kumpisha Mwaniri yule wa Tabora, hivyo lazima aimbe sana na kusifia sifia.
Leo hii Bongo ni mwendo wa kushindana kwenye mapambio ya kumsifu mkulu, yaani Tz ya leo inanikumbusha Kenya ilivyokua miaka 30 iliyopita, wakati ule mapambio ya kumsifu rais Moi ndio yalikua habari ya mjini.
Yaani ilikua desturi ya sisi wanafunzi kutolewa madarasani na kusota kwenye pembezoni mwa barabara ambayo msafara wa rais utapita, akianza kujongea jongea ghafla tunaanza mapambio.
Akihutubia kwenye mkutano wowote, kuna makachero kazi yao ilikua kuchunguza nani hashangili au kupiga makofi kwa furaha, kipindi hicho ungepoteza uwaziri kisa ulionekana umenuna wakati rais anahutubia.