donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
Nlikuwepo hiyo mitaa ila huwa sipigi picha za kijinga na simu yangu.
Hilo tukio ni la kweli, umati wa watu ulitawanywa na FFU.
Jamani hilo tukio ni la kweli kuna jamaa zangu jana walinipigia simu wakanipa izo taarifa lakini sikuamini ndipo nilipopiga simu na kuwauliza watu tofautitofauti wa pale mlandizi na wakanithibitishia kwamba ni kweli.
Thibitisha ndio tuamini, usilete habari za redio matete humu, usitichafulie hewa kwa habari hujazithibitisha "eti umesikia" acha hizo wewe.
Thibitisha ndio tuamini, usilete habari za redio matete humu, usitichafulie hewa kwa habari hujazithibitisha "eti umesikia" acha hizo wewe.
Picha toka Jana hadi Leo hakuna?
Nlikuwepo hiyo mitaa ila huwa sipigi picha za kijinga na simu yangu.
Hilo tukio ni la kweli, umati wa watu ulitawanywa na FFU.
Picha toka Jana hadi Leo hakuna?