Royal Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 882
- 1,632
Mwanasheria mmoja alifanya mapenzi na mchepuko wake kwenye gari lake , basi yule msichana alifurahia sana lile tendo kiasi kwamba akasahau nguo yake ya ndani kwenye gari... Yule mwanasheria alipofika nyumbani mke wake akampokea akaingia ndani , ile kipindi mwanamke anashusha mizigo kutoka kwenye gari , akaiona ch*pi ya mwanamke kwenye gari
, akaanza kupiga kelele kwa asira uku anaichana. Yule mwanasheria akatoka nje haraka haraka kuangalia kilicho tokea , akaanza kumfokea mke wake " Wee mwanamke umechana ushahidi wa kesi ya ubakaji na ni ya mamilioni ...
Mwanamke hapo hapo akapiga magoti akaanza kuomba msamaha ...


Ama kweli kila mtu anakula kazini kwake!!!
[HASHTAG]#RoyalSon[/HASHTAG]

Mwanamke hapo hapo akapiga magoti akaanza kuomba msamaha ...



Ama kweli kila mtu anakula kazini kwake!!!
[HASHTAG]#RoyalSon[/HASHTAG]