Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Japo si mwanasheria lakini najua adhabu ya kutoa rushwa ni kifungo na viboko siku ya kuingia jela na siku ya kutoka, ili mkosaji akamwonyeshe mkewe (au mumewe - akina mama oyee!) Sasa kuna mbunge wa Sumbawanga amevuliwa ubunge na moja kati ya vielelezo mahakamani ni kutoa rushwa. Haitoshi kumvua tu ubunge, apandishwe sasa katika kizimba cha jinai ili apate adhabu stahili.