Ungesema ni uongo ingekuwa sawa lkn kama kweli mmmmmTundu Lissu wa Chadema amethibitisha kwamba anazo taarifa na nyaraka mbalimbali ambazo amepewa na baadhi ya watu wanaoaminika kwamba ni watumishi wa serikali.
Tundu Lissu amepewa nyaraka hizi na watu hawa kwa minajili ya kuzitumia kwa manufaa yake yaani kupalilia safari yake kisiasa na kujipatia umaarufu.
Ni hivi majuzi tu raisi wa Marekani Donald Trump alichukua hatua ya kurekebisha hilo ambapo baadhi ya wasaidizi wake wametuhumiwa kuvujisha taarifa mbalimbali kutoka ndani ya White House kwa waandishi wa habari na wapinzani wake.
Taarifa nyingi za serikali zina utaratibu wake wa kuzihifadhi na hupewa jina maalum la "top secret" au "classified information" kuzuia uwezekano wa kudukuliwa au kuibiwa,
Je, sheria inasemaje juu ya hili la kuvujisha taarifa na nyaraka za serikali kwa watumishi wa umma?
Je, yapi majukumu ya mdhibiti mkuu wa nyaraka za serikali na msemaji wa serikali au maofisa habari "information officers" kwamba labda kuna mahali wanapwaya?
Karibu tujadili bila kuingiza siasa.
Tunapojadili tuzingatia umuhimu wa kuhifadhi nyaraka na taarifa za serikali na wajibu wa maofisa habari na mdhibiti mkuu wa taarifa na nyaraka za serikali.
Mbona hii Ikulu hawajaikanusha Mkuu?au wewe umegeuka msemaji wa Rais?Hiyo ya JPM kuvujisha siri na ampatie Dadid Kafulila siyo kweli bali ni kampeni ya wahasimu wa Magu ndani ya CCM ndiyo watamkayo hayo.
Ebu twende taratibu sasa Mkuu.Deni tunalodaiwa limetokana na nini?tulikopa kwa ajiri ya shughuli za maendeleo au?na kama tulikopa yanini kuwe na siri as long wakopaji ndio walipaji?Suala hapa ni kwamba ndege imezuiliwa mpaka serikali itakapolipa deni kwa hao wanaoidai sawa?
Kwa maana kwamba kama ipo pesa nusu imelipwa na bado serikali inajitahidi kulimaliza hilo suala halafu anatokea mtu anaingilia mchakati huo na kuweka kwenye public domain wewe unaona hiyo ni sawa?
Kumbuka haya majadiliano na namna ya kulipana yanafanyika nje ya nchi na siyo hapahapa Tanzania.
Ebu twende taratibu sasa Mkuu.Deni tunalodaiwa limetokana na nini?tulikopa kwa ajiri ya shughuli za maendeleo au?na kama tulikopa yanini kuwe na siri as long wakopaji ndio walipaji?
Kama ndivyo bac Mimi silioni tatizo kwa hao watoa nyaraka kwa Lisu wala Lisu mwenyeweKama serikali inakopa au imepewa mkopo huwa inakuwa official na inatangazwa na kila mwananchi anafahamu.
Haya mambo mengine kama si official basi yanabakia kuwa unofficial hadi yatakapokuwa official.
Pili, hili jambo si mkopo na wala taarifa zaidi hatuna kwani huyo kibaraka wa wazungu Tundu Lissu yeye ni mwandishi wa habari mpaka atangaze jambo hilo?
.....watu wenye Mawazo kama haya uliyoandika ndio wamejaa huko SeriakaliniSuala hapa ni kwamba ndege imezuiliwa mpaka serikali itakapolipa deni kwa hao wanaoidai sawa?
Kwa maana kwamba kama ipo pesa nusu imelipwa na bado serikali inajitahidi kulimaliza hilo suala halafu anatokea mtu anaingilia mchakati huo na kuweka kwenye public domain wewe unaona hiyo ni sawa?
Kumbuka haya majadiliano na namna ya kulipana yanafanyika nje ya nchi na siyo hapahapa Tanzania.
.....watu wenye Mawazo kama haya uliyoandika ndio wamejaa huko Seriakalini
......hebu niambie chanzo cha hilo DENI yaani upuuzi wa mkurupukaji mmoja anaeitia madeni Nch ndio iwe Siri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hivyo walioko ndani ya serikali wamechoshwa na tilalila ya wanayemtumikia.Tundu Lissu wa Chadema amethibitisha kwamba anazo taarifa na nyaraka mbalimbali ambazo amepewa na baadhi ya watu wanaoaminika kwamba ni watumishi wa serikali.
Tundu Lissu amepewa nyaraka hizi na watu hawa kwa minajili ya kuzitumia kwa manufaa yake yaani kupalilia safari yake kisiasa na kujipatia umaarufu.
Ni hivi majuzi tu raisi wa Marekani Donald Trump alichukua hatua ya kurekebisha hilo ambapo baadhi ya wasaidizi wake wametuhumiwa kuvujisha taarifa mbalimbali kutoka ndani ya White House kwa waandishi wa habari na wapinzani wake.
Taarifa nyingi za serikali zina utaratibu wake wa kuzihifadhi na hupewa jina maalum la "top secret" au "classified information" kuzuia uwezekano wa kudukuliwa au kuibiwa,
Je, sheria inasemaje juu ya hili la kuvujisha taarifa na nyaraka za serikali kwa watumishi wa umma?
Je, yapi majukumu ya mdhibiti mkuu wa nyaraka za serikali na msemaji wa serikali au maofisa habari "information officers" kwamba labda kuna mahali wanapwaya?
Karibu tujadili bila kuingiza siasa.
Tunapojadili tuzingatia umuhimu wa kuhifadhi nyaraka na taarifa za serikali na wajibu wa maofisa habari na mdhibiti mkuu wa taarifa na nyaraka za serikali.
Mkuu umejizungushaa hadi kufikia Comment hii umejidhihirisha nawe ni walewale Mlifanya mikurupukoKama serikali inakopa au imepewa mkopo huwa inakuwa official na inatangazwa na kila mwananchi anafahamu.
Haya mambo mengine kama si official basi yanabakia kuwa unofficial hadi yatakapokuwa official.
Pili, hili jambo si mkopo na wala taarifa zaidi hatuna kwani huyo kibaraka wa wazungu Tundu Lissu yeye ni mwandishi wa habari mpaka atangaze jambo hilo?
Ukisoma vzr nilichoandika utagundua sikusema kwamba wewe uko SerikaliniIla mimi si mtu wa serikalini il ani mdau tu na msajiriamali.
Napenda kufanya uchambuzi tu wa masuala mbalimbali kutafuta ukweli.
Tundu Lissu wa Chadema amethibitisha kwamba anazo taarifa na nyaraka mbalimbali ambazo amepewa na baadhi ya watu wanaoaminika kwamba ni watumishi wa serikali.
Tundu Lissu amepewa nyaraka hizi na watu hawa kwa minajili ya kuzitumia kwa manufaa yake yaani kupalilia safari yake kisiasa na kujipatia umaarufu.
Ni hivi majuzi tu raisi wa Marekani Donald Trump alichukua hatua ya kurekebisha hilo ambapo baadhi ya wasaidizi wake wametuhumiwa kuvujisha taarifa mbalimbali kutoka ndani ya White House kwa waandishi wa habari na wapinzani wake.
Taarifa nyingi za serikali zina utaratibu wake wa kuzihifadhi na hupewa jina maalum la "top secret" au "classified information" kuzuia uwezekano wa kudukuliwa au kuibiwa,
Je, sheria inasemaje juu ya hili la kuvujisha taarifa na nyaraka za serikali kwa watumishi wa umma?
Je, yapi majukumu ya mdhibiti mkuu wa nyaraka za serikali na msemaji wa serikali au maofisa habari "information officers" kwamba labda kuna mahali wanapwaya?
Karibu tujadili bila kuingiza siasa.
Tunapojadili tuzingatia umuhimu wa kuhifadhi nyaraka na taarifa za serikali na wajibu wa maofisa habari na mdhibiti mkuu wa taarifa na nyaraka za serikali.
Wanaovujisha nyaraka wako sahihi ksb kuna yakijinga wanayaona lakini hawana ujasiri wakuyasema hadharani so kupitia TL wanasikika na ni kwa maslahi ya nchi na siyo kupalilia safari ya TL kisiasa km wengi mnavyoona
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo siyo la muhimu, muhimu ni kutafuta hivyovichwa vinavyovujisha taarifa muhimu na kuvipima mkojotuzingatia umuhimu wa kuhifadhi
mie naona wangekaa meza 1 watawala na wapinzani wakaongea kuhusu mustakabali wa nchi inaendaje
Umemaliza yote mkuu.Serikali ni SISI... Unawezaje kuficha mambo yanayohusu maslahi ya taifa! Ifike wakati nyinyi kama viongozi mjue na sisi pia tunaipenda nchi yetu, hatuna jiwe wala reli vifuani, tuna mioyo ya nyama kama yenu tu. Tunaumia sana mnapojifanya nyinyi sio binadamu kama sisi, as if nyinyi mnakidney 3, macho 6, miguu 8.. Sote tuko sawa ndiyo sababu sote tunaugua na kufa.
Narudia tena, kuvujisha siri za serikali ni uzalendo wa hali ya juu zaidi ya ule wa kupigania taifa lako vitani tena front line.