Wanaotuibia wanaturudisha nyuma

Wanaotuibia wanaturudisha nyuma

yathriba

Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
35
Reaction score
6
Habari wadau,

Leo nataka tuambiane kila ambae alishawahi kuibiwa either na kibaka njiani ama kuvunjiwa nyumba na wezi ama wale wanaoitwa majambazi kusema kweli wanaturudisha nyuma, mtu uko buzz kutafuta yeye anakuja kuchukua kiulaini kama chake, inasikitisha kusema kweli.

Hapa naugulia maumivu ya flat screen yangu mpya hata mwaka haijatimia wamevunja wameondoka nayo.

Je, wewe mwenzangu ulishawahi kukutwa na tukio gani?
 
pole, lakini tuliambiwaga mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe + hapa kazi tu...
 
Dunia ndivyo ilivyo, ujue Mexico kuna vibaka na uvamizi kuliko Tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom