KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE
naomba msaada hapa hivi raisi bora wa wawamu ya tata angekuwa nani?Pumbavu zako nyerere anaona mbali wapi acha upuuzi ongea mambo ya maana.engekuwa anaona mbali angemuweka mkapa madarakani.acheni upuuzi wa kumsifu fisadi nyerere.kila fisadi likitaka kujisafisha utasikia nyerere ama kweli fisadi husafishwa na fisadi.wadanganyika oyeeeeeeeeeeeeeee!
kama hukuwa na desa kwanini umetuwekea hii habari, umetufanya tubane pumzi wakati hakuna kitu. Kwa kweli umezisumbua adrenalin zetu bure