AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
Nkana red devils wanavaa sawa sawa na Simba . Kwani hii itakuwa safari ya tatu wanakutana na Simba . Na zile mbili za nyuma Nkana waliwatoa SimbaNaruhusiwa kwenda nimevaa sare ya Nkana Red Devils au Yanga?
Answer my question without vexation, I beg you!
Hivi Hawa jamaa wameshawachagulia simba kipigo chao. Manake hata 1994 kama sikosei Simba walibugizwa migoli kama hiyoMara ya mwisho simba kwenda Zambia matokeo yalikuwa hiviView attachment 961329
Unajitafutia kifo kwa wapenzi wa simba labda utafute usafiri wako pekeeNaruhusiwa kwenda nimevaa sare ya Nkana Red Devils au Yanga?
Answer my question without vexation, I beg you!
Mavi ya kale huwa hayanuki tutawapiga wao sasa4GMara ya mwisho simba kwenda Zambia matokeo yalikuwa hiviView attachment 961329
Naruhusiwa kwenda nimevaa sare ya Nkana Red Devils au Yanga?
Answer my question without vexation, I beg you!
Kuna mkuu hapo juu kaniambia jezi za Nkana Red Devils na za simba zinafanana. Nikawa najiuliza kama hakutakuwepo na mashabiki wa yanga watakaoongozana na simba ndani ya jezi ya Nkana Red DevilsUnajitafutia kifo kwa wapenzi wa simba labda utafute usafiri wako pekee
Umekiuka masharti ya swali langu mkuu. Naliona povu kwenye maneno yakoHata bikini sawaa na utapendezaa zaid
Maana yake nikwambaa unaruhusiwa kuvaa chochotee hataa jezi za chama pendwaa sawa tuu Ila me nkaoneleaa kitakachokupendeza zaidiiUmekiuka masharti ya swali langu mkuu. Naliona povu kwenye maneno yako