Wanaotaka kumpangia Rais Samia someni hapa

Wanaotaka kumpangia Rais Samia someni hapa

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,953
Reaction score
3,449
Nawaona kakikundi fulani wana underestimate uwezo wa Rais.

Kila mara Rais akiteua wanakuja kusema JPM alimtumbua, je ni watu wangapi JPM aliwatumbua na baadae kuwarudisha ni watu wangapi ambao walilalamikiwa kuwa hawafai na kwa upendeleo wa moja kwa moja JPM aliwaacha.

Rais Samia ana haki ya kumteua mtu na kumundoa bila kuulizwa kwa mujibu wa katiba. Nawaona wanazi wanaquestiokwanini fulani kuondolewa je Ofisi za Umma ni mali ya mtu binafsi?

Tumuache Rais Samia Afanye kazi yake

Rais Samia apewe muda wa kuunda Serikali yake.

Rais Samia apewe muda wa kupanga mikakati yake.

Hakika Rais Samia ataleta mageuzi makubwa kiuchumi.
 
Uko sahihi mleta mada maana kwa mujibu wa katiba yetu hii mbovu nchi ni mali ya mtu (rais) siyo ya wananchi.
 
Unajua watu wanashindwa kuelewa kuwa mtu kutumbuliwa kwenye position fulani haina maana atashindwa kufaaa kwenye position B..Mafano TRA bosi alitumbuliwa na magufuri alkini qkamuteau baadaye kuwa CAG
 
Uko sahihi mleta mada maana kwa mujibu wa katiba yetu hii mbovu nchi ni mali ya mtu (rais) siyo ya wananchi.
Katiba sio mbovu
Inalipa kitu ndio maana hii miaka 60 nchi iko salama
 
Unajua watu wanashindwa kuelewa kuwa mtu kutumbuliwa kwenye position fulani haina maana atashindwa kufaaa kwenye position B..Mafano TRA bosi alitumbuliwa na magufuri alkini qkamuteau baadaye kuwa CAG
Sasa imekuwa ngumu kuelewa kwa timu fulani
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nawaona kakikundi fulani wana underestimate uwezo wa Rais.

Kila mara Rais akiteua wanakuja kusema JPM alimtumbua, je ni watu wangapi JPM aliwatumbua na baadae kuwarudisha ni watu wangapi ambao walilalamikiwa kuwa hawafai na kwa upendeleo wa moja kwa moja JPM aliwaacha.

Rais Samia ana haki ya kumteua mtu na kumundoa bila kuulizwa kwa mujibu wa katiba. Nawaona wanazi wanaquestiokwanini fulani kuondolewa je Ofisi za Umma ni mali ya mtu binafsi?

Tumuache Rais Samia Afanye kazi yake

Rais Samia apewe muda wa kuunda Serikali yake.

Rais Samia apewe muda wa kupanga mikakati yake.

Hakika Rais Samia ataleta mageuzi makubwa kiuchumi.
Kwa mujibu wa katiba yetu, mamlaya ya kuteua ("hiring"/appointing) na kutengua ("firing") yapo mikononi mwa Rais anaekalia kiti.
Rejea ibara ya 35 na 36 (1) cha katiba yetu

35.-(1) All Executive functions of the Government of the United Republic of Tanzania discharged by officers of the Government shall be so done on behalf of the President.

(2) Orders and other directives issued for the purposes of this Article
shall be signified in such manner as may be specified in regulations issued by the
President in conformity with the provisions of this Constitution.

36.-(1) Subject to the other provisions of this Constitution and of any
other law, the President shall have authority to constitute and to abolish any office
in the service
of the Government of the United Republic.

(2) The President shall have the authority to appoint persons to hold
positions of leadership
responsible for formulating policies for departments and
institutions of the Government, and the Chief Executives who are responsible for
supervision of the implementation of those department’s and institution’s policies
in the Service of the Government of the United Republic, in this Constitution or in
various laws enacted by the Parliament, which are required to be filled by a
appointment made by the President.

Urais wa nchi hii ndiyo wenye mamlaka ya kuteua amtakae ili kufanya kazi kwa niaba ya Rais. ( All Executive functions of the Government of the United Republic of Tanzania discharged by officers of the Government shall be so done on behalf of the President.)

Kwa kuwa Tanzania imewahi kuwa na
JKN
AHM
BWM
JMK
JPM
na sasa SSH wafanyakazi wetu wanaoteuliwa they "serve her pleasure".

Humu mitandaoni au bungeni au vijiweni watu watasema sana, ila ikukumbukwetu tu, ...All Executive functions of the Government of the United Republic of Tanzania discharged by officers of the Government shall be so done on behalf of the President.

Kila la heri kwa wateule ambao wamewahi ku-serve pleasure ya mamlaka ya uteuzi na ambao mpaka sasa wapo kuitumikia awamu ya 6 chini ya CnC SSH.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hata yule Dikteta Uchwara, alimtumbua Mwigulu na kusema ni wa 'Hovyo', lakini Mwigulu alipoishauri kuwa Serikali yake iache kutoa takwimu za Wagongwa na Vifo vya Covid19, akamrejesha na kwenda kumuapishia kwenye Seating room yake pale Chato.

Angekuwa Raisi makini asingemsikiliza Mwigulu kabisa na huenda hata asingeugua Corona na hatimae kufa Mzena.
 
Nawaona kakikundi fulani wana underestimate uwezo wa Rais.

Kila mara Rais akiteua wanakuja kusema JPM alimtumbua, je ni watu wangapi JPM aliwatumbua na baadae kuwarudisha ni watu wangapi ambao walilalamikiwa kuwa hawafai na kwa upendeleo wa moja kwa moja JPM aliwaacha.

Rais Samia ana haki ya kumteua mtu na kumundoa bila kuulizwa kwa mujibu wa katiba. Nawaona wanazi wanaquestiokwanini fulani kuondolewa je Ofisi za Umma ni mali ya mtu binafsi?

Tumuache Rais Samia Afanye kazi yake

Rais Samia apewe muda wa kuunda Serikali yake.

Rais Samia apewe muda wa kupanga mikakati yake.

Hakika Rais Samia ataleta mageuzi makubwa kiuchumi.
Naunga mkono hoja, na kwasababu baba, hakupangiwa, nashauri na mama asipangiwe, aachwe afanye vile anaona inafaa.
P
 
Nawaona kakikundi fulani wana underestimate uwezo wa Rais.

Kila mara Rais akiteua wanakuja kusema JPM alimtumbua, je ni watu wangapi JPM aliwatumbua na baadae kuwarudisha ni watu wangapi ambao walilalamikiwa kuwa hawafai na kwa upendeleo wa moja kwa moja JPM aliwaacha.

Rais Samia ana haki ya kumteua mtu na kumundoa bila kuulizwa kwa mujibu wa katiba. Nawaona wanazi wanaquestiokwanini fulani kuondolewa je Ofisi za Umma ni mali ya mtu binafsi?

Tumuache Rais Samia Afanye kazi yake

Rais Samia apewe muda wa kuunda Serikali yake.

Rais Samia apewe muda wa kupanga mikakati yake.

Hakika Rais Samia ataleta mageuzi makubwa kiuchumi.
Rubbish,user ngeningeni za mapambio, pathetic!
 
Back
Top Bottom