Kwani wewe unahisi kujiandikisha maana yake ni nini, mpaka useme hukujiandikisha mala unakuja kusema uliwapa information zako?Hiyo ndio sababu pekee uliyoiwaza
To cut long story short walikua wanatafuta watu wa course yangu sabab hatupo wengi ikabidi watoe tangazo nlipomcheki mtoa tangazo akawapa info zangu wakanipigia.