Wanaotafuta kazi, ajira, internship, apprenticeship, kujitolea, pitia HAPA

Hiyo ndio sababu pekee uliyoiwaza
To cut long story short walikua wanatafuta watu wa course yangu sabab hatupo wengi ikabidi watoe tangazo nlipomcheki mtoa tangazo akawapa info zangu wakanipigia.
Kwani wewe unahisi kujiandikisha maana yake ni nini, mpaka useme hukujiandikisha mala unakuja kusema uliwapa information zako?
 
Kwani wewe unahisi kujiandikisha maana yake ni nini, mpaka useme hukujiandikisha mala unakuja kusema uliwapa information zako?
Niliwapa number yangu ya simu jina na course nliyosomea kesho yake wakanipigia sikufanya interview wala kuandikisha vyeti vyangu kwao
Sijui hata kwann nakujibu mwenyewe unalugha mbovu anyways tusichoshane
 
Taesa wamekaa tu kwenye ofisi wanasubiri makampuni ndo yapeleke maombi ya watu badala taesa waeke agents ambao wanakua wanazunguka kwenye mashirika hadi hukoo mikoani kabisa unakuta mahali kuna uhitaji wa watumishi na hakuna mtu anajitolea kutokana na husda za wakurugenzi ila kwa kuwa taesa niya serikali inaeza kupeleka watu wanakula tu mishaara ya bure wamekaa oisini yani
Ukweli mtupu,hawa watu sijui hata kazi yao nini hasa naonaga wapo tu wanakunywa kahawa.
 
Hiyo ndio sababu pekee uliyoiwaza
To cut long story short walikua wanatafuta watu wa course yangu sabab hatupo wengi ikabidi watoe tangazo nlipomcheki mtoa tangazo akawapa info zangu wakanipigia.
Ni course gani hiyo mkuu? Samahani lakini.🤗
 
Taesa wamekaa tu kwenye ofisi wanasubiri makampuni ndo yapeleke maombi ya watu badala taesa waeke agents ambao wanakua wanazunguka kwenye mashirika hadi hukoo mikoani kabisa unakuta mahali kuna uhitaji wa watumishi na hakuna mtu anajitolea kutokana na husda za wakurugenzi ila kwa kuwa taesa niya serikali inaeza kupeleka watu wanakula tu mishaara ya bure wamekaa oisini yani
You may be right but wrong at the same time. Huwa wanatafuta hizo nafasi but ukumbuke sio mashirika yote huprefer intern wa taesa .
Hujui wanafanyaje kazi pia hujui wanahangaikaje trust the process utapigiwa simu nafas yako ikipatikana. Over.
 
Niliwapa number yangu ya simu jina na course nliyosomea kesho yake wakanipigia sikufanya interview wala kuandikisha vyeti vyangu kwao
Sijui hata kwann nakujibu mwenyewe unalugha mbovu anyways tusichoshane
"sijui kwann nakujibu mwenyeww unalugha mbovu"
 
Back
Top Bottom