Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,162
- 48,432
Wakati CHADEMA inapinga uuzwaji wa nyumba za Serikali Kwa hoja kuwa sababu zilizotolewa kwa nini nyumba zile ziliuzwa zilikuwa za uongo, watu wengi hawakuelewa.
CCM walisema zoezi la kujenga na kuwauzia nyumba watumishi wa Serikali litakuwa endelevu.
CCM watuambie wafanyakazi wa umma wanaostaafu hivi Sasa nyumba zao wanazotakiwa kuuziwa ziko wapi?
CCM walisema zoezi la kujenga na kuwauzia nyumba watumishi wa Serikali litakuwa endelevu.
CCM watuambie wafanyakazi wa umma wanaostaafu hivi Sasa nyumba zao wanazotakiwa kuuziwa ziko wapi?