Ni kweli, lakini hawawezi kupata ushirikiano wetu maana hatuwatambui. Mtaani kwetu kuna mtendaji alipita kwenye ule uchaguzi wa kihuni wa SM, ameitisha mikutano mara 2 sijui kujadili maendeleo, watu waliojitokeza mara zote ni wachache sana, mpaka ilibidi aahirishe hiyo mikutano. Na hata hawa watapata ushirikiano kwa waliowachagua na sio sisi.