Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Msonjo

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2019
Posts
1,378
Reaction score
2,394
Wanaokana mungu huwa wanahoja mbalimbali katika kupinga uwepo wa mungu, pia huwa wanakosoa mafunzo ya dini ili kutilia mkazo zaidi katika hilo.

Lakini ukweli ni kwamba, sio kama hoja zao zinathibitisha kutokuwepo kwa mungu, hapana.
Bali hoja zao zinathibitisha kuwa wao ni wapingaji, hivyo hakuna andiko wala muujiza utakao wafanya waamini, sembuse hizi hoja ambazo huwa wanarumbana na watu Kila kukicha.

Na hivi ndivyo walivyo tangu enzi na enzi, hoja zao ni zilezile, na hata katika Quran, imeelezwa jinsi hawa watu walivyowakaidi.

Walipoonyeshwa miujiza waliita uchawi, maneno ya mwenyezimungu waliyaita hadhithi za kutunga, mitume waliwaita wachawi, machizi n.k.
(rejea; Quran 6:7,10:2,15:6, 46:17, 44:14, 40:56...)

Na katika kudhihirisha zaidi ukaidi wao, walifikia hadi kusema kumwambia mwenyezimungu, eti kama kweli hii (yaani yale aliyokujanayo mtume) ni haki kutoka kwako basi tuteremshie mawe kutoka mbinguni, au ututeremshie adhabu yenye kuumiza.(rejea; Quran 8:32)

Hii inaonyesha ni kiasi gani hawa watu ni wakaidi maana wangetaka kujua, wangeomba kuongozwa ila kwakuwa ni wakaidi wakaomba kuangamizwa.

Atakwambia thibitisha kama mungu yupo.

Sasa kama dalili alizoziweka mungu mwenyewe kuthibitisha uwepo wake hazijakukinaisha kuamini, unadhani hoja gani itakayokukinaisha.

Muktadha wa kupinga kwao ni kwamba mungu hayupo, hivyo hoja za kuthibitisha uwepo wake zote ni batili, lakini hata kama mungu yupo na hizi ndizo dalili alizoziweka kuthibitisha uwepo wake, basi ndio tayari wameshazipinga, maana hawakubalianinazo, hivyo ni wapingaji.

Kwahiyo tatizo sio ubora wa dawa ya sikio katika kutibu, bali tatizo ni kuwa hili ni sikio la kufa, hivyo halisikii dawa.
 
Mungu yupo, alikuwepo na ataendelea kuwepo.

GWAJIMA: Mungu huinunua Watu kupitia Watu
 
Tunapinga uwepo wa Mungu kwa nadharia za vtabu vya dini , Ila kwa uhalisia wa uwepo wa supernatural power iliyofanya creation hatupingi kabsa , Natharia ya uwepo wa Mungu iliyopo kwenye vtabu vya dini inapotosha ukweli , kwasababu inamwelezea Mungu kuwa hashindwi chochte ili ndani kabsa ime mlimit kwenye baadhi ya mambo , mfano wa uwepo wa Mungu mbinguni akiwa na makerubi na wazee 24 ,hauoni umepunguza nguvu ya Mungu na kumlimiti kwenye sehemu moja tu anayoweza kuooperate kutokea apo? Pili Mungu anaweza kukasirishwa au kufurahishwa na binadamu , hauoni binadamu kuwa anaweza kucontrol hisia za Mungu !? Ila kwa tunaoishi ukweli wa kuwa kunasupernatural power inayo operates hii universe na universe nyingne hauoni tupo sahihi because energy can not be created no destroyed? Usione watu hawaamini vitabu vya dini hivhiv tu tunasababu za msingi tu ata huyo Mungu wa kwenye vitabu tunaweza tukamhoji kwanini maneno yako yanapinga baadhi ya tabia zako
 
Hujafanya chochote mkuu kwakuwa bado umenukuu Quran ambayo hao wapinga mungu kwa hoja za kimantiki hawaiamini.

Huwezi kuwaaminisha kwa kwenda kunukuu biblia au quran.
Na hii ndio maana ya ukaidi.

Wanaipinga Quran kwa sababu wanasema haijatoka kwa mungu, lakini hata kama inatoka kwa mungu ndio tayari wameshaipinga.
 
Wanaokana mungu huwa wanahoja mbalimbali katika kupinga uwepo wa mungu, pia huwa wanakosoa mafunzo ya dini ili kutilia mkazo zaidi katika hilo.

Lakini ukweli ni kwamba, sio kama hoja zao zinathibitisha kutokuwepo kwa mungu, hapana.
Bali hoja zao zinathibitisha kuwa wao ni wapingaji, hivyo hakuna andiko wala muujiza utakao wafanya waamini, sembuse hizi hoja ambazo huwa wanarumbana na watu Kila kukicha.

Na hivi ndivyo walivyo tangu enzi na enzi, hoja zao ni zilezile, na hata katika Quran, imeelezwa jinsi hawa watu walivyowakaidi.

Walipoonyeshwa miujiza waliita uchawi, maneno ya mwenyezimungu waliyaita hadhithi za kutunga, mitume waliwaita wachawi, machizi n.k.
(rejea; Quran 6:7,10:2,15:6, 46:17, 44:14, 40:56...)

Na katika kudhihirisha zaidi ukaidi wao, walifikia hadi kusema kumwambia mwenyezimungu, eti kama kweli hii (yaani yale aliyokujanayo mtume) ni haki kutoka kwako basi tuteremshie mawe kutoka mbinguni, au ututeremshie adhabu yenye kuumiza.(rejea; Quran 8:32)

Hii inaonyesha ni kiasi gani hawa watu ni wakaidi maana wangetaka kujua, wangeomba kuongozwa ila kwakuwa ni wakaidi wakaomba kuangamizwa.

Atakwambia thibitisha kama mungu yupo.

Sasa kama dalili alizoziweka mungu mwenyewe kuthibitisha uwepo wake hazijakukinaisha kuamini, unadhani hoja gani itakayokukinaisha.

Muktadha wa kupinga kwao ni kwamba mungu hayupo, hivyo hoja za kuthibitisha uwepo wake zote ni batili, lakini hata kama mungu yupo na hizi ndizo dalili alizoziweka kuthibitisha uwepo wake, basi ndio tayari wameshazipinga, maana hawakubalianinazo, hivyo ni wapingaji.

Kwahiyo tatizo sio ubora wa dawa ya sikio katika kutibu, bali tatizo ni kuwa hili ni sikio la kufa, hivyo halisikii dawa.
Thibitisha Mungu yupo, na kwamba hizo habari za kuwepo kwa Mungu si hadithi za kusadikika zilizotungwa na watu tu.

Twende pointi moja bada ya nyingine katika uthibitisho wako.
 
Thibitisha Mungu yupo, na kwamba hizo habari za kuwepo kwa Mungu si hadithi za kusadikika zilizotungwa na watu tu.

Twende pointi moja bada ya nyingine katika uthibitisho wako.
Atakwambia thibitisha kama mungu yupo.

Sasa kama dalili alizoziweka mungu mwenyewe kuthibitisha uwepo wake hazijakukinaisha kuamini, unadhani hoja gani itakayokukinaisha.

Muktadha wa kupinga kwao ni kwamba mungu hayupo, hivyo hoja za kuthibitisha uwepo wake zote ni batili, lakini hata kama mungu yupo na hizi ndizo dalili alizoziweka kuthibitisha uwepo wake, basi ndio tayari wameshazipinga, maana hawakubalianinazo, hivyo ni wapingaji.

Kwahiyo tatizo sio ubora wa dawa ya sikio katika kutibu, bali tatizo ni kuwa hili ni sikio la kufa, hivyo halisikii dawa.
 
Atakwambia thibitisha kama mungu yupo.

Sasa kama dalili alizoziweka mungu mwenyewe kuthibitisha uwepo wake hazijakukinaisha kuamini, unadhani hoja gani itakayokukinaisha.

Muktadha wa kupinga kwao ni kwamba mungu hayupo, hivyo hoja za kuthibitisha uwepo wake zote ni batili, lakini hata kama mungu yupo na hizi ndizo dalili alizoziweka kuthibitisha uwepo wake, basi ndio tayari wameshazipinga, maana hawakubalianinazo, hivyo ni wapingaji.

Kwahiyo tatizo sio ubora wa dawa ya sikio katika kutibu, bali tatizo ni kuwa hili ni sikio la kufa, hivyo halisikii dawa.
Dalili gani unazosema na unajuaje zimewekwa na Mungu na habari hiyo si story ya watu tu?

Unaweza kuitaja dalili moja tuichambue?
 
Dalili gani unazosema na unajuaje zimewekwa na Mungu na habari hiyo si story ya watu tu?

Unaweza kuitaja dalili moja tuichambue?
Hoja ni zilezile unazozijua zilizotajwa katika Quran, au ulianza kupinga kwanza kabla ya kujua hoja zilizomo katika Quran?

Kama ulifanya hivyo huoni kama huo ni ujinga?

Na kama unazijua basi ndio ulishazipinga, na hii ndio point yangu.
 
Hoja ni zilezile unazozijua zilizotajwa katika Quran, au ulianza kupinga kwanza kabla ya kujua hoja zilizomo katika Quran?

Kama ulifanya hivyo huoni kama huo ni ujinga?

Na kama unazijua basi ndio ulishazipinga, na hii ndio point yangu.
Hoja gani? Unaweza kuitaja moja?

Mbona unakuwa too general na hutaki kuwa specific?
 
Hoja gani? Unaweza kuitaja moja?

Mbona unakuwa too general na hutaki kuwa specific?
Kwa sababu sipo hapa kukuthibitishia kuwa mungu yupo, bali ninatambua msimamo wako kuwa huamini kama mungu yupo.

Au nimekusingizia?
 
Siyo kwamba hupo hapa kunithibitishia Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.
Na wewe unapinga uwepo wa mungu.

Hakuna ubishi.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.
Hii ndio maana ya ukaidi, kwa sababu kupinga hakulazimu kutokuwepo, mtu anaweza kupinga hata kitu ambacho kipo.

Ndio maana sitaki kubishana na wewe.

Ngoja nikusaidie kuelewa mada yangu.

Kwa kusema hivi:-

Siamini kama wewe upo.

Na huwezi kuthibitisha kama wewe upo.

Kwa sababu haupo.

Sasa wewe endelea kuhangaika kunithibitishia uwepo wako, maana nakuhakikishia, hata uje nyumbani kwangu nikuone bado nitaendela kupinga tu.
 
Back
Top Bottom